na inavyofanya kazi kwa kishndo.tafiti wanazofanya ndani ya jf halafu watu wanajuzwa
muwekeeni avator ya mbuzi wa kinyakyusa..kitimoto
kwanza wanaiboma chadema, halafu mahakama ya kadhi
hahaha. Ukiona comment mbovu juu ya waislam ni mwanachadema tu. Namuonea huruma arfi na kibaragashia chake bungeni. Hajui anavyodharauliwa ndani ya chadema
kwa nini bakwata wanawalamba ccm miguu?ukiona coment mbovu juu ya waislam ni mwanachadema tu
wanapenda kuonesha urembo wao. Hata bibilia hawaitaki tena
huyu nilishawaambia ni mtu mmoja ms,ff,rejao ni mtu hana kazi hana elimu ya kusaidia maisha yake bali ana elimu ya ........... ambayo inamruhusu kupiga majungu na umbea usiomsaidia yeye hata nchi yake bali anasumbuliwa na udini uliopitiliza.
ukitaka kujua ninachokisema subiria 2015 ccm isimamishe mkristo uone ukigeugeu wake.
kikwete keshasema serikali haianzishi mahakama ya kazi kwani inawahusu waislam na bakwata,hakuna maandamano wala aliyeonge sasa akiingia mkristo wanafiki kama huyu ms,ff na rejao wanahama ccm kisa haitaki kuanzisha mahakama ya kadhi.
kunya anye kuku kikwete muislamu kakataa lakini atakuja kuadhibiwa mkristo.
Hahahaaaa ila la uhakika ni kwamba hawezi lipua JF kamwewewe kumbe ni al sha baab....hatutaki al shabaab wala boko haramu
Ha ha ha! Na AK47...?hahahha. Hawapendi kuona ushungi, wanaumia sana
Mkuu, hii ni afadhali, iliyopita ilikuwa ni ya suicide bomber mtoto anayeonekana maybe 5yrs old or so akiwa amefungiwa yale mabomu ya kujitolea muhanga, sasa mtoto hata asiyejuwa whats right and whats wrong wanamvisha mabomu, sasa mimi naamini siyo mtoto aliyejilipuwa, bali amelipuliwa!mods toeni hii avator