Jamani mbona wahamihaji haramu ni wengi Sana Tz??

Achana na Tea Party. At least Marekani wana sheria zinazofanya kazi. Ukikamatwa unabangaiza illegally unapandishwa kizimbani then kwenye pipa, hadi kwenu. Lakini Tz, umesoma kile kisa cha Mwarabu wa Movenpick? Yupo illegally na wafanyikazi wazalendo wamelalamika lakini jamaa kapitisha mshiko polisi wanabaki wanawapigia simu wazalendo wafute malalamiko yao. That is Bongo and that is wrong.

Aaah wapi! Hata Marekani wanahitaji immigration reform. Wewe umeona wapi eti ma illegal wanaandamana kudai haki zao? Haki gani hizo? Au umesahau wakati Bush alipotaka kuwapa amnesty hawa watu? Kwenye miji kibao kulikuwa na waandamanaji wengi wao wakiwa ma illegal....only in America.
 
Unaonekana kuogopa mada ya waTZ wanaoishi nje illegally, Kwani shida iko wapi? Kama unataka kutendewa justice na wewe lazima utende justice.

Tatizo sio kuogopa au kuogopa. Tatizo ni kuwa sisi kama Tz as a country we have everything to lose wahamiaji haramu wanapokuja nchini kwetu kuliko sie tunavyoenda kuishi kiharamu kwenye nchi nyingine. Sababu ndio hizo za mambo ya ajira, uvunaji resources, usalama. etc.
 
Aaah wapi! Hata Marekani wanahitaji immigration reform. Wewe umeona wapi eti ma illegal wanaandamana kudai haki zao? Haki gani hizo? Au umesahau wakati Bush alipotaka kuwapa amnesty hawa watu? Kwenye miji kibao kulikuwa na waandamanaji wengi wao wakiwa ma illegal....only in America.
Immigration reform ya Marekani itahalalisha kuwepo kwa 12 million illegals kwa sababu hawawezi kuwarudisha Mexico, Honduras, Guatemala na El Salvador.

Na tofauti na Marekani ni kwamba inaweza kuwaacommodate na kuwa assimilate for historical reasons. But that is a debate for another time. Turudi kwetu Bongo. Hatuwezi ku afford every Hun and Chung and Maharajas and what have you wanaingia bila access control. Na baya zaidi ni kwamba vijana wetu pale Immigration wakipata bahasha ya kitu kidogo tu wanasahau kuwa wanapandikiza long term problems for Tanzania.
 
Immigration reform ya Marekani itahalalisha kuwepo kwa 12 million illegals kwa sababu hawawezi kuwarudisha Mexico, Honduras, Guatemala na El Salvador.

Na tofauti na Marekani ni kwamba inaweza kuwaacommodate na kuwa assimilate for historical reasons. But that is a debate for another time. Turudi kwetu Bongo. Hatuwezi ku afford every Hun and Chung and Maharajas and what have you wanaingia bila access control. Na baya zaidi ni kwamba vijana wetu pale Immigration wakipata bahasha ya kitu kidogo tu wanasahau kuwa wanapandikiza long term problems for Tanzania.

Ok, kama kwenu hamuwezi ku afford illegal immigrants na nyinyi acheni kuzijaza nchi za watu maana mnaishia kuwa ma public charge. If it's good for the goose then it should be good enough for the gander and vice versa
 
Njaa na rushwa vinawamaliza leo mnajidai kuleta story za wahamiaji haramu,hebu waacheni wanatafuta maisha tuu hao.
 
Tuangalie pia sheria zetu za uraia kama zinakidhi mahitaji yetu ya sasa ambayo dunia ni kama kijiji kimoja. Tumekuwa na wahamiaji haramu hapa wakapanda vyeo humo serikalini( tena kwenye vyombo nyeti vya dola) hadi ngazi za juu kabisa. Namkumbuka pia jamaa mmoja aliwahi kuwa makamu mwenyekiti wa FAT enzi hizo. Wengine wamewahi kuwa Wabunge, maDC, wajumbe wa Kamati Kuu ya CCM!!
RITA iimarishwe tu. Itapunguza sana utata huu. Tatizo kubwa tulilonalo ni uwekaji na utunzaji wa kumbukumbu.
 
kama wewe sio makini basi ujue serikali yako haitakuwa makini.
umakini unatakiwa uwanzie kwako
Nakubaliana nawe mkuu.Leadership begins at individual level. Haiwezekani kila kitu tunaisukumia serikali kama wenyewe hatutaki kuwa whistle blowers.
 
Kwa kuanza tu naona Uhamiaji kama wapo, waanze na Aga Khan University, thats if they have guts. Pale ni kiota cha wakenya kuanzia office assistants hadi lectures na wanakaa miaka kibao, yani zaidi ya hiyo two years. kazi ipo.
 
Tupeleke mambo kimpangilio:

Draft Protocol.11009 14.
1. The Partner States hereby guarantee the right of residence to the citizens of the other Partner States who have been admitted in their territories in accordance with Articles 10 and 13 of this Protocol.
2. The right of residence guaranteed under paragraph 1, shall apply to the spouse, child and a dependant of a worker or self‐employed person entitled to rights provided in Articles 10 and 13 of this Protocol.

Rais wetu Mpendwa, Jakaya M. Kikwete kasaini kwamba Wakenya, Wanyarwanda, Warundi na Waganda RUKSA kufanya kazi YOYOTE, na kuwa WAKAAZI wa mahali POPOTE Tanzania.

Bunge litaridhia / lisharidhia? Mkataba unaanza rasmi Julai 01 2010.

Mipaka itafutwa
 
Kwa hiyo wandugu, mnapoteza nguvu zenu kujadili idara ya uhamiaji.

Mmepiga kelele migodi ya madini, nini kimetokea? Mikataba!

Mnalalamikia utekelezaji wa mikataba, huku mko kimya mikataba ikisainiwa!

Msiangalie matokeo bila kuangalia chanzo
 
The problem is record keeping nacorruption katika wizara zetu nyeti kama mambo ya ndani, kazi na pia Utumishi. Na huyo anayesema Watanzania ni wezi afanye utafiti kwani nafasi hiyo hiyo ukimwajiri Mkenya au Mhindi labda unampa mshahara Million 2 Lakini Mtanzania unampa laki 4 hivi unategemea nini? Fanyeni utafiti mtashangaa haya.
 
Tupeleke mambo kimpangilio:



Rais wetu Mpendwa, Jakaya M. Kikwete kasaini kwamba Wakenya, Wanyarwanda, Warundi na Waganda RUKSA kufanya kazi YOYOTE, na kuwa WAKAAZI wa mahali POPOTE Tanzania.

Bunge litaridhia / lisharidhia? Mkataba unaanza rasmi Julai 01 2010.

Mipaka itafutwa

...kama ni kweli namsifu sana Kikwete,nchi yeyote yenye wahamiaji huendelea sana.
 
Wahamiaji haramu wa Kitanzania mbona nao wengi tu kwenye nchi za watu...

tofauti ni kwamba ukipiga simu wizara ya mambo ya ndani ya nchi hizo basi hao waTZ haramu wanarudishwa kwao siku hiyo hiyo lakini hapo bongo ukiwaambia uhamiaji unakuwa umehalalisha hao jamaa kukaa maana yake watatoa hongo alaafu ndio imetoka
 
Du wakati sisi Watanzania tunao ishi njee kila mda tunatembea na document za kuishi au kufanya kazi ata kama nchi ni ya watu weusi ukikutwa una vibali faini inafika usd500.Serikali iko wapi waindi wamezidi kuwa wengi ambao awana taluma wala uzoefu wakufanya kazi apo nchini.
 
tofauti ni kwamba ukipiga simu wizara ya mambo ya ndani ya nchi hizo basi hao waTZ haramu wanarudishwa kwao siku hiyo hiyo lakini hapo bongo ukiwaambia uhamiaji unakuwa umehalalisha hao jamaa kukaa maana yake watatoa hongo alaafu ndio imetoka

Si kweli...kuna watu kibao wana mi felony na bado wapo mtaani
 
tofauti ni kwamba ukipiga simu wizara ya mambo ya ndani ya nchi hizo basi hao waTZ haramu wanarudishwa kwao siku hiyo hiyo lakini hapo bongo ukiwaambia uhamiaji unakuwa umehalalisha hao jamaa kukaa maana yake watatoa hongo alaafu ndio imetoka

...yani simu tuu inatosha kumkamata mtu na kumrudisha kwao? labda Tanzania na wanakuomba rushwa kwanza na ukishindwa hakuna kesi ni kukutupa border tuu, lakini nchi zilizoendelea hakuna huo upuuzi.
 
Du wakati sisi Watanzania tunao ishi njee kila mda tunatembea na document za kuishi au kufanya kazi ata kama nchi ni ya watu weusi ukikutwa una vibali faini inafika usd500.Serikali iko wapi waindi wamezidi kuwa wengi ambao awana taluma wala uzoefu wakufanya kazi apo nchini.

...acha ubaguzi wako wewe na mawazo yako potofu,yaani hizi chuki kwa wahindi zinasaidia nini?
 
Back
Top Bottom