Milango iko wazi nzige kenge,vyura,mende wote wataingia,baada ya muda mfupi tutalia kilio cha kusaga meno hamna mfuumo kabisa,wakuzuia tatizo hilo watu walioshika nafasi za kutekeleza taratibu za uhamiaji ndio wa kwanza kuzivunja,halafu watu wa wizara ya kazi hawakagui kabisa majedwali ya wafanyakazi katika makampuni mbalimbali ni nani