Mchokoo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2015
- 1,179
- 1,579
Wanabodi naomba kuuliza swali.
Hivi ile michakato ya katiba mpya, iliyogharimu mabilioni ya shiringi za walipa kodi iliishia wapi?
Manake naona katiba mpya haizungumziwi tena!
Imefika mahali mtu mwenye akili timamu anaweza kuhoji kuwa je hawa waheshimiwa wetu waliopo madarakani leo si ndiyo walewale walionufaika na posho za vile vikao?
Ina maana walikula posho bure au ni nini?
Hivi ile michakato ya katiba mpya, iliyogharimu mabilioni ya shiringi za walipa kodi iliishia wapi?
Manake naona katiba mpya haizungumziwi tena!
Imefika mahali mtu mwenye akili timamu anaweza kuhoji kuwa je hawa waheshimiwa wetu waliopo madarakani leo si ndiyo walewale walionufaika na posho za vile vikao?
Ina maana walikula posho bure au ni nini?