Leo imenishangaza kwenye habari za magazetini, Kanumba azikwa kwa mil 70, rambirambi zilmefikash mil 90, mama yake amepewa mil 4! Maziko kwa mil 70? Halafu tunaambiwa ameacha magari 3 na alikuwa na akiba ya mil 40. Bado kuna utata....Duh, mafisadi lazima walipiga hela hapo kaburi likajengwa chini ya viwango..!
MAAJABU! Katika hali isiyokuwa ya kawaida, kaburi la aliyekuwa nguli wa filamu za Kibongo, marehemu Steven Charles Kanumba The Great limeanza kuweka nyufa na kutitia ikiwa ni siku 5 tu tangu alipozikwa.
likiota majani usisahau kuandika kwa blog yako
MAAJABU! Katika hali isiyokuwa ya kawaida, kaburi la aliyekuwa nguli wa filamu za Kibongo, marehemu Steven Charles Kanumba The Great limeanza kuweka nyufa na kutitia ikiwa ni siku 5 tu tangu alipozikwa.
Iundwe kamati ya ukarabati wa kaburi mwenyekiti awe RugeNo!!! anachosema hapa kipo so realy lile kaburi lilijengwa kwa cement na kumwagwa zege na nondo, haikuwa sawa kwa lenyewe kuanza kutitia leo hii 5 days after. watu walichanga sana kumzika star wao kiheshima, hata kama kuna watu wengine hawakumfaham hadi anafariki, ni kule kukosa kwao uzalendo kwa Entertainment industry za Home. HAPO IULIZWE KAMATI TENA BWANA LUGE NA BWANA MTITU NA SHIGONGO Walikuwa ndani na wote CV zao c nzuri sana.
wekeni picha for evidence
Yaani sijui nilikuwa dunia gani, nilikuwa simfahamu kabisa KANUMBA
mpaka siku aliyokufa. Yaani Ajabu kwelikweli sijui imekuwaje nikashindwa
kumfahamu mtu huyo hapo kabla.