KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,067
Kuna yule ulitaka kumbaka kesi yenu iliishia wapi?
Mkuu, nani alimleta huyu mfanyakazi? Wewe ay wife?Sijafanya bado ila mambo yanavyokwenda nona umuhimu wa kuweka mikakati ya kutoanguka katika jaribu hili. Samahani wewe ni mwanaume au mwanamke?
Mkuu, nani alimleta huyu mfanyakazi? Wewe ay wife?
Sijafanya bado ila mambo yanavyokwenda nona umuhimu wa kuweka mikakati ya kutoanguka katika jaribu hili. Samahani wewe ni mwanaume au mwanamke?
Hii ni kwa wanaume tu pleeaseeeee! but mchango wako nimeuchukua ingawa umevunja masharti
Thanks mkuu nitajaribu
toka haraka ukitukuta uchi alaaa<br />
<br />
lakini somo linahusu msichana..
Haya naondoka..
mkuu mbona ni jambo la kawaida tu,kama una chance mpelekee moto,hamna shida mkuu,inawezekana huyo house girl mnamnyima chance ya kutoka kwenda kupata service,muhudumie kiaina mkuu,msaidie mtoto wa watu
Jamani naomba ushauri kuhusu hili.
Mimi ni mume wa mke mmoja na watoto wanne. Hivi karibuni tumepata housegirl mpya kutoka Singida, amemaliza form four hakubahatika kuendelea na masomo kwa sababu ya kukosa sifa za shule za serikali. Ni mzuri wa kawaida, yaani hana muonekano ule wa mahousegirl-naamaanisha muonekano choka mbaya kweli anafaa hata kuwa mke wa mtu. Katika historia yangu sijawahi hata siku moja kutembea na housegirl na mpaka sasa nishaajiri hao h/girl si chini ya 6, huwa niko very serious na sitaki mazoea nao hata kidogo.
Huyu amekuja naona anataka kuniangusha katika msimamo wangu huu. siku ya kwanza kutambulishwa kwake alionekana kushituka sana ingawa na mimi kwa ndani nilimkubali kuwa mzuri. Maisha yakaendelea na siku zikafunguka. Sasa toka siku hiyo amekuwa anakosa sana sana tu confidence ninapokuwa nyumbani, mara atajikwaa, mara ataogopa kuja mbele yangu n.k mbaya zaidi ninapokuwa peke yangu lets say wengine wapo mbali ananichangamkia sana na kutabasamu muda wote kila nitakalooongee yeye anatabasamu hata kama si la kufurahisha, nikimtuma kitu ataniletea wakati napokea anainua kichwa kuniangalia kiuchokozi halafu anatabasamu, basi na mimi nikawa natabasamu. Ikitokea labda nimerudi nyumbani na nahitaji chakula mapema atanipikia vizuri sana wakati mwingine anongeza kitu ambacho hakikupangwa kwenye ratiba ya chakula cha siku hiyo, anaweza kunkaangia mayai au akachemsha chai ya maziwa akaweka na viuongo haraka haraka na kunipatia chakula.
Tatizo, wife keshamshitukia hizo nyendo zake, amekuwa kila mara ananiuliza kuhusu mtu huyu, anasema mbona fulani ukiwepo anakuwa hana confidence nikamwambia mi sijui embu muulize alipomuuliza akamjibu wife kuwa eti ananiogopa kwa sababu aliambiwa na mlinzi mi ni mkali sana achunge asinikorofishe. Lakini ukiangalia mapozi yake kwangu si ya mtu anayemuogopa. Si hizi ameongeza zaidi, kunisalimia/kuniamkia kwake imekuwa ngumu sana ni mara mojax2 sana. Mi kwa ujumla ni mtu nisiyejali vitu vidogo vidogo na nilichojaribu kufanya ni kuwa mbali nae, nimeongeza kuwa serious, na wakatui mwingine nakuwa mkali ninapoongea nae ili awe mbali nami au afute hicho anachofikiri au kukitafuta, Lakini nahisi ananitafuta ubayaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
Nimfanyeje? au nifenye lakini nahisi kujidhalilisha kwa mah/girl!
Kaka dhambi ina tabia ya kuishi sirini mwite mbele ya mkeo kukiwa na mtu mzima mkanye live za uso ukiona ngumu mrudishe kwao ukimchana mkeo atakupenda zaidi na kukuheshimu