Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,903
- 1,053
Jamani hivi hizi biashara zinafanyika vipi? Inakuwaje mtu nanunua soda ya fanta lakini iko ndani ya chupa ya mirinda? Huu ni uzembe wa hali ya juu!
Nani mwenye kosa hapa? Hivi naweza kuwachukulia hatua gani hawa?
Siku nyingine utagundua kuwa watanzania hatuko serious na biashara zetu.
utakuta mende, vifuniko vya soda na takataka kibao katika soda. Ni uzembe mkubwa sana.
Usishangae siku nyingine kukuta unakunywa konyagi mwitu ukidhani wanywa soda, maana huku kwetu wanatumia chupa hizi hizi ku bottle Konyagi!