kuku dume
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 414
- 62
Nilipokuwa njiani kati ya Mafinga na Iringa mjini gari lilisimama na wachuuzi wakafika mara. Walikuwa wakiuza mazao mbali mbali lakini kundi la wauza nyanya lilikonga nyoyo yangu huku nikiwa na skafu ya CHADEMA shingoni.
Walikuwa wakiuza "CHADEMA moja" haya yakiwa maneno ya wachuuzi hao na vidole viwili juu. Sikuhizi huko Iringa hawaiti elfu mbili bali "chadema moja huku vidole viwili vikiwa juu".
Kwa hili BoT wanatakiwa kufanya maamuzi magumu.
M4C forever!
Walikuwa wakiuza "CHADEMA moja" haya yakiwa maneno ya wachuuzi hao na vidole viwili juu. Sikuhizi huko Iringa hawaiti elfu mbili bali "chadema moja huku vidole viwili vikiwa juu".
Kwa hili BoT wanatakiwa kufanya maamuzi magumu.
M4C forever!