TINGA TINGA
New Member
- Jun 7, 2011
- 4
- 1
wapendwa wanablog, naomba msaada wenu,
Kuna shost yangu kakutwa na jambo hili wadau mnashaurije?
Huyu shost wangu alikuwa na jamaa yake, but with time, penzi lao likawa linayoyoma. Jamaa yake alikuwa na mkewe ila akamficha huyu kimada wake, huku huyu wa nje akijua anaolewa. Jamaa alikuwa akimpa miahadi kibao kuwa atamuoa. With time mdada akawa na mwanamume wake mwingine, Na upande wa pili jamaa akawa ana vitoto vingine.
Siku moja jamaa akawa amekorofishana na rafiki yake wa kiume ambaye alikuwa na siri zote za hawa wawili ambao wanafichana mambo yao. Huy rafiki wa kiume wa kuyu jamaa naye ana mkewe, ila naye akawa anaiba kidogo kidogo nje ila yeye huwa hawafichi hawa vitotoz kuwa ana mke. Mwenzake ndo aikuwa anaficha.
Wakati wanakorofishana, ikawa siku ya kufa nyani .... Jamaa na huyu demu wake wanaodanganyana wakafuaniana. jamaa kafumania message za mahaba kwenye simu ya demu, wakagombana mbele ya huyu rafiki wa kiume na watu wengine. Message zilikuwa zinatisha jamaa alivyokuwa anamsifia demu wawapo uwanjani.
Demu akawa hoi tena kutukanwa mbele ya watu kamdhalilisha. Huku jamaa akijimwambafy mbele ya watu kuwa kamfumania demu wake, huyu jamaa yake akamtonya demu kuwa huyu jamaa yako mbona ana mke anakudhalilisha nini mbee ya watu hivi?
Sinema ikabadilika ghafla, jamaa akajikuta ananywea kama maji na baadaye akagundua kuwa aliyetoa siri ni jamaa yako. Sasa kitim tim!!!!! Jiweke kwenye position ya yeyote kati ya hawa watu watatu ungefanyaje? Huyu aliyetoa siri anajua kuwa jamaa anaweza kuja kumwaga unga kwa mke wa huyu jamaa na tena ana namba zake. aliyetoa siri pia ana namba ya mke wa jamaa yake, na huyu demu aliyefumaniwa aliyenywea mwanzoni na baadaye kabadilika mbogo baada ya kuambiwa jamaa ana mke. Kazi kwenu wadau mnajifunza nini hapa?
Kuna shost yangu kakutwa na jambo hili wadau mnashaurije?
Huyu shost wangu alikuwa na jamaa yake, but with time, penzi lao likawa linayoyoma. Jamaa yake alikuwa na mkewe ila akamficha huyu kimada wake, huku huyu wa nje akijua anaolewa. Jamaa alikuwa akimpa miahadi kibao kuwa atamuoa. With time mdada akawa na mwanamume wake mwingine, Na upande wa pili jamaa akawa ana vitoto vingine.
Siku moja jamaa akawa amekorofishana na rafiki yake wa kiume ambaye alikuwa na siri zote za hawa wawili ambao wanafichana mambo yao. Huy rafiki wa kiume wa kuyu jamaa naye ana mkewe, ila naye akawa anaiba kidogo kidogo nje ila yeye huwa hawafichi hawa vitotoz kuwa ana mke. Mwenzake ndo aikuwa anaficha.
Wakati wanakorofishana, ikawa siku ya kufa nyani .... Jamaa na huyu demu wake wanaodanganyana wakafuaniana. jamaa kafumania message za mahaba kwenye simu ya demu, wakagombana mbele ya huyu rafiki wa kiume na watu wengine. Message zilikuwa zinatisha jamaa alivyokuwa anamsifia demu wawapo uwanjani.
Demu akawa hoi tena kutukanwa mbele ya watu kamdhalilisha. Huku jamaa akijimwambafy mbele ya watu kuwa kamfumania demu wake, huyu jamaa yake akamtonya demu kuwa huyu jamaa yako mbona ana mke anakudhalilisha nini mbee ya watu hivi?
Sinema ikabadilika ghafla, jamaa akajikuta ananywea kama maji na baadaye akagundua kuwa aliyetoa siri ni jamaa yako. Sasa kitim tim!!!!! Jiweke kwenye position ya yeyote kati ya hawa watu watatu ungefanyaje? Huyu aliyetoa siri anajua kuwa jamaa anaweza kuja kumwaga unga kwa mke wa huyu jamaa na tena ana namba zake. aliyetoa siri pia ana namba ya mke wa jamaa yake, na huyu demu aliyefumaniwa aliyenywea mwanzoni na baadaye kabadilika mbogo baada ya kuambiwa jamaa ana mke. Kazi kwenu wadau mnajifunza nini hapa?