Mm nazungumzia hawa wajasiriamali wauza chips mitaani(take away).hivi hawa jamaa mbona huwa hawajali wateja wageni?
Mfano;unaagiza wa kwanza tena unakuta hakuna mteja hata mmoja,wakati unasubiri anakuja jamaa anayemjua jina huyo muuzaji na kupewa kile ulichoagiza ww.mm nauliza hivi hawa wanatofauti na makonda kweli kiutendaji?
t
Mfano;unaagiza wa kwanza tena unakuta hakuna mteja hata mmoja,wakati unasubiri anakuja jamaa anayemjua jina huyo muuzaji na kupewa kile ulichoagiza ww.mm nauliza hivi hawa wanatofauti na makonda kweli kiutendaji?
t