Kwani mimi nafuata dini gani?
Inaweza kuwa "Palestina nchi ya Israel" au "Israel nchi ya Palestina"............... Who cares? Certainly not me.!!!
Ya kwetu yanaelekea kutushinda, hayo ya Palestina na Israel tutayaweza wapi? Wanapigania ardhi hao, wakati sisi tumekazania kuuza ardhi kwa pesa kiduchu..!!!
Hii ni kali, Mashehe waingia DISCO na Kanzu, khaaa, mimi sijaona Wachungaji wakifanya hii mambo.
Labda uangalie Jina Palestina lilianza lini. Ukisha pata utashangaa kuwa Wafilisti walikuwa kabla ya hao Palestina. Who are these Palestinians, "invaders" wa nchi ya watu.