The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,080
Vyote hivyo vinategemea na muuzaji ndio maana unaona baadhi ya wanunuzi na watumiaji wanataka kuonja kwanza ili wajue hayo niliyoyabold hapowhat abt quality, price, guarantee & delivery?
Vyote hivyo vinategemea na muuzaji ndio maana unaona baadhi ya wanunuzi na watumiaji wanataka kuonja kwanza ili wajue hayo niliyoyabold hapowhat abt quality, price, guarantee & delivery?
Buy MY LOVE get MY BODY for free!Tangaza hivi: Buy 2 and get one for free
Mie kijijini kwangu, msichana kama haolewi basi anahamia eneo lingine ng'ambo ya pili ya mto, hatachukua muda, jamaa wanatangaza nia!
Hata kama hatapata wa jumla huko, akirudi nyumbani baada ya miezi 6 tayari anaonekana mpya....wanachukua ni fasta!
Ushauri:...
Hapo kwenu washakujua kuwa unakopesha mno.
Hamia ugenini au mji mpya(kwa dada mkubwa, binamu etc), ubadili tabia yako na kuwa geti kali, hutacheleweshwa!
Vyote hivyo vinategemea na muuzaji ndio maana unaona baadhi ya wanunuzi na watumiaji wanataka kuonja kwanza ili wajue hayo niliyoyabold hapo
Hahaha!!! Good Commercial for BusinessBuy MY LOVE get MY BODY for free!
Hahahaah.....unadhani ntapata wateja???Hahaha!!! Good Commercial for Business
Mie kijijini kwangu, msichana kama haolewi basi anahamia eneo lingine ng'ambo ya pili ya mto, hatachukua muda, jamaa wanatangaza nia!
Hata kama hatapata wa jumla huko, akirudi nyumbani baada ya miezi 6 tayari anaonekana mpya....wanachukua ni fasta!
Ushauri:...
Hapo kwenu washakujua kuwa unakopesha mno.
Hamia ugenini au mji mpya(kwa dada mkubwa, binamu etc), ubadili tabia yako na kuwa geti kali, hutacheleweshwa!
Saaly wala usiwe na hofu, jitunze na endelea kumuomba Mungu,wakati ukifika atakuwa mnunuzi wa daima. Jifunze kutokana na yalipota na endelea kujipenda na kujitunza....ipo siku utajibiwa sala zako.....Mungu hawahi wala hachelewi. Usiharakishe ukatumbukia kwa vimeo,kuwa na subira na take your time,life is short by the way!!!:A S-rose:
mbona ni mambo ya kawaida haya?? uamini nini?
Duh kali sasa hiyo nakuonjeshana tena, kila lakheli!!!!!!Tuonje kwanza . . .
Na akiweza vizuri anaweza wawekea interest ya mkopo badae akija kulipwa kunakuw a na ongezeko kidogoKununua na kukopa ndo biashara. Wengine wanakuja kama wanunuzi kumbe wakopaji wenye maudhi. Huwezi kuacha biashara eti kwakuwa wakopaji ni wengi, inabidi uwaangalie wateja wako kwa makini, la sivyo watakuumiza moyo mpaka maini.