embu nipe maujuzi hapo nilipobold lizzy,mwaka huu na mie nataka niuze jumla lolound::tonguez:
natafuta mnunuzi wa jumla wa bidhaa yangu jamani,sitaki kuamini itabaki imedoda:dance::dance::biggrin1:
Kama wamekopa maana yake wanacho na hawajalipia.....sema wamekodishaHebu nipe sensa ya watu waliokwishakopa so far.
Dearest,mi ningependa kujua wangapi wameshakodisha hapo? manake mi wamekodisha zaidi ya 50.... na sina regrets.:smow:Kama wamekopa maana yake wanacho na hawajalipia.....sema wamekodisha
wangapi!??
natafuta mnunuzi wa jumla wa bidhaa yangu jamani,sitaki kuamini itabaki imedoda:dance::dance::biggrin1:
Dearest,mi ningependa kujua wangapi wameshakodisha hapo? manake mi wamekodisha zaidi ya 50.... na sina regrets.:smow:
Umekopwa nini? Au yale mambo yenu?
Hahahh dearest huna mpango wa kuuza jumla???Mi bado nahesabu....Dearest,mi ningependa kujua wangapi wameshakodisha hapo? manake mi wamekodisha zaidi ya 50.... na sina regrets.:smow:
Hahahh dearest huna mpango wa kuuza jumla???Mi bado nahesabu....
Hahahha umenifurahisha kweli dearest!Sasa inabididuh,mpango ninao though sidhani kama ni priority.....mi ntaka kununua dearest,sitaki kununuliwa....hata mi bado nahesabu,na u sweet 16 wangu bado mchanga kabisa....l.o.l