Jamani dhana hii ni kweli kunako 6*6?

ni kweli kuna mwanamke mtamu na ambaye sio mtamu.! Kwa muono wangu ni kwamba, Mwanamke mtamu ni yule ukizama kunako chumvini kuna ka-umoto moto flani kanakuunguza uumeni pia mnato wa ukweli, hapo utapata raha flani hadi unapofika kileleni utamu unakuwa ni nooma! Lakini kuna wadada wengine kunako kumepoa sana tena pako chepechepe hapo ndio nahisi kuwa hapana utamu.! Japo nimepata maujanja toka Uhayani ya ku-drill water from clits lakin bado cjapata utamu ule niupatao kwa niliyemwelezea mwanzo.! Ni mtazamo wangu tu jamani

kuna kaukwel hapo
 
Weeeeee! Utamu unatofautiana. Unajua hasa umkute binti anayejua kujishughulisha,utakata kidole.
 
umekosea kuuliza swali
kwani climax hazitofautiani lakini utamu wa kudo ni tofauti sana tena sana, kuna wanawake watamu hadi basi, yaani zile 'kwangu kwako' zinakua raha tupu, hasa mnato sio bwawa!
 
Vile vile kuna mitazamo tofauti kwenye 6*6, mimi nnapata utamu zaidi nikifanikiwa kumshawishi mwenzanu aniruhusu nishike pale nnapohisi yeye atasisimka au kupata raha zaidi, sihitaji sana kufanyiwa au kuda i nifanyiwe nini, napenda nitawale game labda na yeye aombe nafasi, msisimko wake (akifake ntajua) utachangia zaidi climax kuwa bab kubwa.
WANAUME wengine atataka yeye sasa ndo ashikweshikwe, mic itestiwe, akatiwe kiuno after 2 min game is over so kwa mwanaume ni suala la mtizamo wako nini kipo katika ndoto zako za sex!
Chimunguru that means you are not selfish when it comes to giving. To me i like that, na its true a man has to conrol the game rather than the woman kwani kuna possibility kubwa ya mwanaume ku fikia climax wakati wa game kuliko mwanamke so to avoid that mwanaume yampasa ajitume sana ili amfikishe bibie kunako uhuru peak.

Hapa sasa naanza kuelewa kuwa kuna tofauti kati ya patnaz kunako majambozzz. kwamba ukimpata anayedeka imekula kwako and virse versa
 
Last edited by a moderator:
umekosea kuuliza swali
kwani climax hazitofautiani lakini utamu wa kudo ni tofauti sana tena sana, kuna wanawake watamu hadi basi, yaani zile 'kwangu kwako' zinakua raha tupu, hasa mnato sio bwawa!

sasa LEOrnad robert yawezekana mimi na wewe tukawa tunawaza mamoja. umesema vizuri sana na mimi ndivyo nilivyokuwa najua kuwa climax hazitofautian bana.................. tofauti ni utundu tu na huu huleta raha ya tofauti. na kama umestudy kwa main orgasm is nothing but the way through it is something. kwani the maximum pleasure iko kwenye kuitafuta orgasm na ukiifikia raha inakwisha.
 
Last edited by a moderator:
kuna wanawake watamu hadi basi, yaani zile 'kwangu kwako' zinakua raha tupu, hasa mnato sio bwawa!

hivi kuna possibility ya mwanamke ku-maintain mnato during her sexual life? kama haiwezekani kutokana na sababu mbalimbali (including wear and tear, over-use, kujifungua etc), can we safely assume kwamba mwanamke atapoteza mnato and hence utamu as she gets progressively older?
 
ni kweli kuna mwanamke mtamu na ambaye sio mtamu.! Kwa muono wangu ni kwamba, Mwanamke mtamu ni yule ukizama kunako chumvini kuna ka-umoto moto flani kanakuunguza uumeni pia mnato wa ukweli, hapo utapata raha flani hadi unapofika kileleni utamu unakuwa ni nooma! Lakini kuna wadada wengine kunako kumepoa sana tena pako chepechepe hapo ndio nahisi kuwa hapana utamu.! Japo nimepata maujanja toka Uhayani ya ku-drill water from clits lakin bado cjapata utamu ule niupatao kwa niliyemwelezea mwanzo.! Ni mtazamo wangu tu jamani

Uko sahihi mdau! wengine wanajishebedua tu hapa. yes, tunakubali kuna upendo, kuna hisia ila pia kuna taste... wapo wadada watamu na wasio watamu. Ila kwa wakaka hapo sijui ikoje ila mwenye mpini mrefu kidogo wa watani analeta taste zaaidi, lol.
 
basi i would rather say Chimunguru kuwa kwa wanaume extent ya pleasure ni pronounced, sidhan kama kwa wanawake hii inaapply labda tuwaskie. but nimekupenda manake umeweza kunielezea nikaelewa.

Kwa wanawake pleasure iko pronounced pia, inategemea na mwanamume ni mjuvi kiasi gani, mwanamke anahitaji kusuguliwa clitoris hapa ndipo palipo na pleasure, bahati mbaya wanaume wengi wanatafuta pleasure zao.
 
hivi kuna possibility ya mwanamke ku-maintain mnato during her sexual life? kama haiwezekani kutokana na sababu mbalimbali (including wear and tear, over-use, kujifungua etc), can we safely assume kwamba mwanamke atapoteza mnato and hence utamu as she gets progressively older?
cartura umeuliza swali la msingi sana, nami nakujibu but sina reference najaribu tu kuunga mistari. wakati mwanamke anapokuwa highly fertile for reproduction huwa ni mzuri sana, and this can go through out her reproductive age.once she reaches menopouse secreetion of reproductive hormones is being trigged and therefore lutenizing hormone stops na siyo hapo tu hata mifupa huchoka kwani kunakuwepo na low calcium intake for bones. kupungua kwa lutenizing hormone humfanya mama akose kabisa hamu ya kufanya tendo na hali hii pia husababisha kupotea kwa lubrication and so forth.

kutokana na hali hii katika umri huu mwanamke huwa hana tena ile hali aliyokuwa nayo wakati akiwa na rutuba. so huo mnato na hata joto hupungua na ashki yenyewe pia huisha. Kuna badhi ya akina mama umri wa 35 wanaanza kutokutamani kufanya tendo la ndoa kabisa, lakin wengi tunawatazamia wwe hivyo katika umri wa 45> sijui kama nimekujibu vizuri but that is according to me
 
Last edited by a moderator:
Kwa wanawake pleasure iko pronounced pia, inategemea na mwanamume ni mjuvi kiasi gani, mwanamke anahitaji kusuguliwa clitoris hapa ndipo palipo na pleasure, bahati mbaya wanaume wengi wanatafuta pleasure zao.[/QUOT
Remmy, umesema kweli kabisa.................wakaka desa hilo.
 
Last edited by a moderator:
Mimi naweza sema, fulani nampenda kuliko fulani!

Na kwa ninaye mpenda love making inakuwa tamu. Maumbile ya sex organ hayahusiki sana, ingawa huge inaumiza; ndogo kama mwenye nayo anajua kuitumia haina shida. Kwangu kumpenda ndiyo determinant

Am impressed!!!
 
Wana MMU polen kwa ujenzi wa taifa na hongereni kwa mapumziko ya jioni.

wapendwa hebu tudadavue hapa ni kweli kwamba hii dhana ya mtu fulan ni mtamu au siyo mtamukunako majamboz ni kweli? mathalan utaskia wakaka wengi wakidai demu fulan mtamu sana sasa mimi hapa huwa nashindwa kuelewa kitu kwani extent ya pleasure unayoipata wakati wa climax inatofauti from one person to another?

na je kwa wadada eti kuna tofauti kweli kati ya mkaka na mkaka katika kutoa raha provided kuwa orgasm utaifikia?

kwani pilau hilo'?
 
Back
Top Bottom