Jaman hebu nitoen ushamba!

Hivi jaman jana yamenikuta ya kunikuta nikanyimwa hadi 2nda la kati eti kisa wakati nimenogewa na mashamsham ya maandaliz ya kuingia mchezon si nikatia kidole kwenye 2nda lenyewe WEE!! demu alianza kulia huku akinisukuma ntoke mbele yake,alichukua khanga akajifunga kisha akakaa pembeni huku analia.alilia mda mrèfu sana! HIVI TATIZO NI NINI HAPO?
mapenzi unaanza leo yy si ulikuwa naye kwa nn hukumhoji acha ushamba wa mapenzi
 
Madoido yakizidi wakati mwingine huwa taabu kweli kweli, jamani pole sana ila hii imenifanya nitabasamu siku ya leo! Imenikumbusha mbaali enzi zileeeee nina ndoa ya mume kigeugeu! Bembeleza kaka ulukosea, hakuna mu anaelia bila sababu labda kama kibaka wa mapenzi!
 
Hiyo itakuwa itakuwa ulianza na kidole,vidole hatimaye maDOOLE au mkono,we ulitarajia acheke tu?huoni hata huruma?
 
kaka huyo dada kazoea tiwa ulimi bhana xo ucmbembeleze kama kwenye CV(CIRCULAM VITTAE) hakuweka finga point not allowed we ungeota kamata chick ingine pimaoil weyeeeeeeeeeeeeeee
 
kwan mlienda hapo kutiana vdole?:smile::smile::smile::smile::smile:>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom