Jamaa yangu hajui............

Wanawake wanavutiwa zaidi na wanaume wawajibikaji/wanaoweza kubeba majukumu jambo ambayo jamaa anaonekana kutokuwa nalo, inawezekana mwanamke huyo c kwamba anataka kumbwaga jamaa bali anataka jamaa aelewe kwamba anatakiwa kujishughulisha na c kuwa tegemezi.
 
Nampa pole. Kama mwanaume, alifanya kosa kubweteka kwa kukaa na kusubiri kununuliwa na kutunzwa na mwanamke. Mi maisha yangu yote sijawahi kusikia baba wa nyumbani, mara nyingi nimesikia mama wa nyumbani. Alipaswa kuomba mtaji kipindi kile ambacho huyo dada alikuwa anamhudumia ili afanye shughuli za kujitegemea.

Sishangai sana huyo dada kuamua kumpiga chini huyo kaka, maana labda ameona kuwa ni mtu asiyefikiria mambo ya maendeleo, imagine kipindi chote hicho hataki kujishughulisha, ataweza vipi kusimamamia familia yake kama akipewa nafasi ya kuwa mume?

Mshauri rafiki yako, abadili tabia. Nasita mno kumtetea.

ushauri mzuri na maoni mazuri
 
hivyo huyo jamaa yko akija kujua utumbo wake umeuweka humu JF hamtagombana kweli.
 
hivyo huyo jamaa yko akija kujua utumbo wake umeuweka humu JF hamtagombana kweli.

Hata wakigombana atakua kamsaidia sana Jamaa akiona reaction ya wanajamii...Hawa ndo wanaume wanochafua jina MWANAUME....wanasababisha hata dada zetu wametushusha thamani!
 
Jamaa yupo mjini kwa kutoa dozi
Mwambie ajitangaze baada ya kutoswa atapata wa kumuhifadhi
This time anaweza pata mume
OTIS
 
Hivi hiyo ndio inayotafsiriwa kama mtaji wa masikini ni nguvu zake mwenyewe.............sijui hapa ilikuwaje............lol
 
hahahahah au jamaa harejeshaji mikopo, mshkaji akaamua kumtosa?



Sasa arif angu, kama huyo jamaa ni n'shkaji wako si ungemgea japo kwa mkopo usio na riba hiyo 100k ili jamaa yako aendelee kuwa "baba wa nyumbani"?

Ona sasa mshkaji amegeuka "baba wa kijiweni" unapata mzigo wa kumkatia mshiko wa kusavaivu. Sasa uwe makini manake kishazoea akipewa hela akili inahamia kwenye kichwa cha chini, asije akakutamani akataka kufanya kama alivyokuwa anamfanyia mama wa NBC.... Yu knooo woram seyyying?
 
alitaka atunzwe mpaka lini?
hlf anaona yy ndiyo mgawa dozi tu hapa duniani............mwambie pamoja na mapungufu yake ya kulelewa huyo dada ndiyo kakutana na mashine mnato zaidi yake............na akumbuke tu kwenye mahusiano wanawake wanapendwa KUPENDW(LOVED), KULINDWA(PROTECTED) ,KUJALIWA NA KUTHAMINIWA(CARED) ,KUHESHIMIWA, KUMILIKIWA NA KUONGOZWA(HAPA NASISITIZA NA KUONGOZWA ,NAKUONGOZWA ,NAKUONGOZWA).

Umeona eheeeeeeee! Nimekugongea thank u. Ukizingatia siku hizi hatuwezeshwi, tunaweza wenyewe. Si unaona tulivyokuwa tunawezeshwa tulikuwa tunajifungulia viujasiliamali vyetu, vya kupika mandazi, mihogo, saloon, pub na sasa tunaweza. Raha namna gani. Rahaje!
 
Nampa pole. Kama mwanaume, alifanya kosa kubweteka kwa kukaa na kusubiri kununuliwa na kutunzwa na mwanamke. Mi maisha yangu yote sijawahi kusikia baba wa nyumbani, mara nyingi nimesikia mama wa nyumbani. Alipaswa kuomba mtaji kipindi kile ambacho huyo dada alikuwa anamhudumia ili afanye shughuli za kujitegemea.

Sishangai sana huyo dada kuamua kumpiga chini huyo kaka, maana labda ameona kuwa ni mtu asiyefikiria mambo ya maendeleo, imagine kipindi chote hicho hataki kujishughulisha, ataweza vipi kusimamamia familia yake kama akipewa nafasi ya kuwa mume?

Mshauri rafiki yako, abadili tabia. Nasita mno kumtetea.

nimeikubali sana comment yako mzee..! ni ya ukweli sana na imekaa KIUME
 
Hivi hiyo ndio inayotafsiriwa kama mtaji wa masikini ni nguvu zake mwenyewe.............sijui hapa ilikuwaje............lol


Yeye alitumia nguvu, jasho jingi lakini inavyoonyesha mtaji alikuwa anapeleka labda kwa visichana vingine. Lakini kama angetumia vizuri mtaji ambazo ni pesa alizokuwa anapewa na huyu dada hata kama ni pesa za kuweka mfukoni tu basi nguvu zake zisingeenda bure. Nguvu zilitumika, mtaji ukapatikana, lakini alishindwa kujipanga. Mara nyingi wanasema bahati ahiji x 2 kwa hiyo mleta mada mwambie jamaa asije akabweteka akidhani kuna mfanyakazi mwingine wa benki atakuja upande wake. Apewe pole tu.
 
huyo mi nadhani hajijui kama ni mtoto wa kiumeni..! na inabidi awajibike kama mwanaume..! na wanaume hatupo hivyo hebu mwambie..! mwambie hiviiii DRILLER ANASEMAAA..! UKIENDELEA HIVYO UTAUMBUKA NA UTAKUA SIO MFANO WA KUIGWA KWA WANAO..!
 
Inaonekana mwanamke akiwa na aina fulani ya kazi anakua kimeo kwa baadhi ya wanaume!

hayo ni mawazo mgando,kua na tabia za ajabu kwenye mahusiano ni tabia ya mtu haihusiani na kazi anazofanya mwanamke
 
wamemuweza kabisa labda una mawasiliano ya huyo dada nimpe ofa leo jioni pale NEW AFRICA HOTEL.
 
Kila nikikutana na mambo kama hayo nakumbuka wimbo wa JUDITH WAMBURA uliotesa sana na kuleta mtafaruku mkubwa nchini "WANAUME KAMA MABINTI". Je siye wanaume tumewamwaga mara ngapi wanawake ambao ni wa mizinga. Binti ambaye hajui mwanzo, katikati na mwisho wa mwezi kila mkikutana ni Mzinga tu? Mtoa uzi naomba kujuzwa nani alimtongoza mwenzake qani naamini Nyamaume illimbishwa hadi ikakubali. Pia ni lazima wadau tukumbuke hii ni haki ambayo wanawake wanaililia sana na walianza kuida tangu mwaka BEIJING (1995) chini ya uenyekiti wa Mbongo GETRUDE MONGELLA.Sina la kumuambia zaidi ya kumtakia maumivu mema ya kukosa k... ya bure na kidonda cha moyo. Ni mashaka makubwa kupata majerahamawili kwa wakati mmoja.
 
Back
Top Bottom