Jamaa ni noma

IrDA

JF-Expert Member
Aug 26, 2010
743
350
Msichana mzuri aliweka tangazo kwenye gazeti akisema anatafuta mwanaume atakayemwoa,ambaye hata mwacha na atamridhisha kitandani.
kesho yake akashangaa jamaa anagonga mlango hana miguu wala mikono.mjadala wao ukawa hivi.
Mrembo:unagonga unataka nini wewe?
Jamaa:niliona tangazo lako kwenye gazeti,nimeamua nikuoe
Mrembo:nitakupeleka wapi mtu huna miguu wala mikono.
Jamaa:una bahati kuwa na mimi,sina mikono kwahiyo siwezi kukupiga,sina miguu kwahiyo siwezi kukuacha.
Mrembo:sasa we kweli kitandani uko fiti?
Jamaa:sasa ndo ujiulize sina mikono wala miguu ila mlango niliugonga na nini.
 
Hii kali sana!
Msichana mzuri aliweka tangazo kwenye gazeti akisema anatafuta mwanaume atakayemwoa,ambaye hata mwacha na atamridhisha kitandani.
kesho yake akashangaa jamaa anagonga mlango hana miguu wala mikono.mjadala wao ukawa hivi.
Mrembo:unagonga unataka nini wewe?
Jamaa:niliona tangazo lako kwenye gazeti,nimeamua nikuoe
Mrembo:nitakupeleka wapi mtu huna miguu wala mikono.
Jamaa:una bahati kuwa na mimi,sina mikono kwahiyo siwezi kukupiga,sina miguu kwahiyo siwezi kukuacha.
Mrembo:sasa we kweli kitandani uko fiti?
Jamaa:sasa ndo ujiulize sina mikono wala miguu ila mlango niliugonga na nini.
 
hahahaha.....kitandani atakuwa mkali ile mbaya. ile kitu imeweza kugonga mlango!!!
 
Msichana mzuri aliweka tangazo kwenye gazeti akisema anatafuta mwanaume atakayemwoa,ambaye hata mwacha na atamridhisha kitandani.
kesho yake akashangaa jamaa anagonga mlango hana miguu wala mikono.mjadala wao ukawa hivi.
Mrembo:unagonga unataka nini wewe?
Jamaa:niliona tangazo lako kwenye gazeti,nimeamua nikuoe
Mrembo:nitakupeleka wapi mtu huna miguu wala mikono.
Jamaa:una bahati kuwa na mimi,sina mikono kwahiyo siwezi kukupiga,sina miguu kwahiyo siwezi kukuacha.
Mrembo:sasa we kweli kitandani uko fiti?
Jamaa:sasa ndo ujiulize sina mikono wala miguu ila mlango niliugonga na nini.

Duh!...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom