pamiho
JF-Expert Member
- Jun 21, 2010
- 271
- 35
Kaka mmoja mwenye asili ya Somalia, raia wa Kenya anayesoma nchini Malaysia, wiki iliyopita alijikuta akizua zogo kwenye ofisi ya uhamiaji. Tukio hiko lilitokea mida ya asubuhi baada ya kaka huyo ( anajiita Mzee) kumpatia passport mhudumu (dada) naye akaipokea passport kwa kutumia tissue paper
Kaka huyo alishikwa na hasira sana kwa kitendo hicho ndipo akaamua kumchapa vibao dada huyo mwenye asili ya kihindi kwakuwa alionesha dharau kwa mteja huyo (mzee)
Mzee alikamatwa na polisi akawekwa mahabusu siku 3 kisha uongozi wa uhamiaji ukaamua kuitisha kikao ili wamsikilize kijana huyo. Ndipo alipowaeleza kuwa alilazimika kufanya vile kwakuwa nchi yake yenye heshima ilidhalilishwa na huyo dada.
Uongozi ukaamuru kijana huyo(Mzee) aachiliwe huru kwakuwa mhudumu alikosea sana kushika kwa tissue paper passport ya mteja.
Kwa bahati mbaya tuliokuwepo tukisubiri huduma hiyo tulifurahiswa kwa kitendo hicho cha kumnasa vibao hali ilopelekea kutohudumiwa kwa siku ile na kuambiwa twende siku ilofuata.
Kaka huyo alishikwa na hasira sana kwa kitendo hicho ndipo akaamua kumchapa vibao dada huyo mwenye asili ya kihindi kwakuwa alionesha dharau kwa mteja huyo (mzee)
Mzee alikamatwa na polisi akawekwa mahabusu siku 3 kisha uongozi wa uhamiaji ukaamua kuitisha kikao ili wamsikilize kijana huyo. Ndipo alipowaeleza kuwa alilazimika kufanya vile kwakuwa nchi yake yenye heshima ilidhalilishwa na huyo dada.
Uongozi ukaamuru kijana huyo(Mzee) aachiliwe huru kwakuwa mhudumu alikosea sana kushika kwa tissue paper passport ya mteja.
Kwa bahati mbaya tuliokuwepo tukisubiri huduma hiyo tulifurahiswa kwa kitendo hicho cha kumnasa vibao hali ilopelekea kutohudumiwa kwa siku ile na kuambiwa twende siku ilofuata.