Jamaa anayetajwa kuwa ni mwanajeshi (mstaafu au bado anafanya kazi) amembaka mwanamke hadharani eneo la Magomeni Makanya (Dar es Salaam) mchana huu kwenye mida ya saa 6.
Kwa simulizi ya shuhuda aliyekuwepo kwenye eneo la tukio, ambaye pia anamfahamu huyo mjeshi mpaka nyumbani kwake kasema kuwa jamaa kakutana na huyo mwanamke karibu na gereji bubu ya barabarani makanya, mara akamshika kwa nguvu huyo mwanamke na kumvua kwa nguvu hadhari na kumtenda hicho kitendo cha aibu mbele ya macho ya watu wengi waliokuwa wakipita hapo. Mpaka anamaliza kitendo hicho, kulikuwa na watu wengi waliofurika hapo wakiwa wameduwaa. Kwa nini hawakumpiga? Ni jamaa wanayemfahamu (kwamba ni mjeshi, pia ni mbabe), na anaishi maeneo ya karibu (Mwananyamala Kisiwani-ambapo si mbali na gereji hiyo).
Shuhuda mmoja aliyetaka kumtetea huyo dada alijikuta akionja hasira ya huyo mjeshi. Jamaa kamvunjia vioo vya gari yake kwa hasira; kisha akasogea karibu kucheza mchezo wa pool.
Muda mfupi; walifika askari polisi na difenda yao-wakiwa na bunduki zao. Huenda walipigiwa simu na wananchi. Polisi hao wameshindwa kumkamata mjeshi huyo; ambaye walikuwa wanamuona na yeye wala hakuwakimbia.
Binafsi nimefika eneo hilo la tukio takriban nusu saa baada ya tukio na kuukuta huo umati wa watu, polisi wakiwepo na difenda lao. Kama vile haitoshi, mjeshi huyo kawazonga polisi na kuwaambia kuwa hawana UBAVU wa kumkamata wala nini. Ndiyo hayo yaliyotokea muda mfupi uliopita.
Kwa vyombo vya usalama na vyombo vya habari:
Ukiweza kufika hapo Magomeni Makanya utapata mkanda mzima. Watu walioshuhudia ni wengi na wanaelezea wenyewe; na wanamfahamu huyo mjeda. Binafsi baada ya kuona polisi walishajulishwa na wamekwishafika; nilifanya jitihada za kupigia simu vyombo viwili vya habari na kuwaelekeza eneo la tukio. What a shame!
Namba yangu ni 0764600170.
Kwa simulizi ya shuhuda aliyekuwepo kwenye eneo la tukio, ambaye pia anamfahamu huyo mjeshi mpaka nyumbani kwake kasema kuwa jamaa kakutana na huyo mwanamke karibu na gereji bubu ya barabarani makanya, mara akamshika kwa nguvu huyo mwanamke na kumvua kwa nguvu hadhari na kumtenda hicho kitendo cha aibu mbele ya macho ya watu wengi waliokuwa wakipita hapo. Mpaka anamaliza kitendo hicho, kulikuwa na watu wengi waliofurika hapo wakiwa wameduwaa. Kwa nini hawakumpiga? Ni jamaa wanayemfahamu (kwamba ni mjeshi, pia ni mbabe), na anaishi maeneo ya karibu (Mwananyamala Kisiwani-ambapo si mbali na gereji hiyo).
Shuhuda mmoja aliyetaka kumtetea huyo dada alijikuta akionja hasira ya huyo mjeshi. Jamaa kamvunjia vioo vya gari yake kwa hasira; kisha akasogea karibu kucheza mchezo wa pool.
Muda mfupi; walifika askari polisi na difenda yao-wakiwa na bunduki zao. Huenda walipigiwa simu na wananchi. Polisi hao wameshindwa kumkamata mjeshi huyo; ambaye walikuwa wanamuona na yeye wala hakuwakimbia.
Binafsi nimefika eneo hilo la tukio takriban nusu saa baada ya tukio na kuukuta huo umati wa watu, polisi wakiwepo na difenda lao. Kama vile haitoshi, mjeshi huyo kawazonga polisi na kuwaambia kuwa hawana UBAVU wa kumkamata wala nini. Ndiyo hayo yaliyotokea muda mfupi uliopita.
Kwa vyombo vya usalama na vyombo vya habari:
Ukiweza kufika hapo Magomeni Makanya utapata mkanda mzima. Watu walioshuhudia ni wengi na wanaelezea wenyewe; na wanamfahamu huyo mjeda. Binafsi baada ya kuona polisi walishajulishwa na wamekwishafika; nilifanya jitihada za kupigia simu vyombo viwili vya habari na kuwaelekeza eneo la tukio. What a shame!
Namba yangu ni 0764600170.