Huwezi kuchaguliwa ila una sifa za kuendelea na kidato cha tano. Nenda shule ya private.
Jama naomben mnisaidie mm nina Histor c,kiswahl b na englsh c ila nina four ya 32.Je naweza kuchaguliwa kidato cha tano
walaa ucjal we nenda private watakupokea tuJama naomben mnisaidie mm nina Histor c,kiswahl b na englsh c ila nina four ya 32.Je naweza kuchaguliwa kidato cha tano
Umeangalia huo Uzi ni wa mwaka gani? 2014walaa ucjal we nenda private watakupokea tu
Kwa hyo ya 32 labda itokee muujza.unaenda FV dogo tulia!kinachoangaliwa si division bali ni kubalance kwa combination.kuna watu huwa wana three lkn kombi hazikubalance wameachwa!