Jakaya Mrisho Kikwete: Rais mwenye kipaji na usikivu

bush.jpg
 
Unaweza ukawa mkweli kwa hili, tatizo linakuja: Mwalimu yuko darasani anafundisha wanafunzi akiwemo kiranja mkuu. Wanafunzi wanasikiliza kwa makini mwalimu akifundusha. Mwalimu anadai 2x2=4 na 2+2=4, kisha anasema 4x4=16 lakini 4+4=8. Katika hayo yote anaonyesha njia jinsi ya kupata majibu huku wanafunzi akiwemo kiranja mkuu wanasikiliza kwa makini. Kisha mwalimu anatoa mazoezi kwa hesabu zilezile alizofundisha, kiranja mkuu kwa kutumia nafasi yake anafikiri anachofikiria yeye ndicho sahihi kuliko wananchofikiria darasa zima. Mwalimu anasahihisha anakutwa kiranja mkuu kakosa na darasa lote wamepatia. Kwa hiyo, huo usikilizaji kwa makini wa kiranja mkuu ulikuwa ni geresha tu, mawazo yake yalikuwa si kufanya hesabu kwa usahihi bali kufanya hesabu kwa ubabe na mafikirio na nafasi yake.

Huyo ndiye Kikwete mwenye kusikiliza kwa makini na usikivu lakini akili ni bongolala iliyojaa kiburi/dharau "Jakaya Mrisho Kikwete raisi mwenye kipaji na usikivu"
 
Sifa ya Kwanza ya Kikwete ni Mswahili. Waswahili ni watu wa pwani ya Afrika Mashariki na lugha yao mama ni kiswahili, Bwagamoyo ni moja katika machimbuko ya Waswahili. Sifa kuu ya Waswahili ni ustaarabu wao ulioanza kabala ya wengime wote waliotoka bara, bara kwa maana mbali na bahari. Utamaduni waliokuwa nao Waswahili uliwashngaza hata wazungu wa kwanza waliotua pwani ya waswahili (si vasco da gama, vasco hajashuka pwani aliishia melini). Wazungu walishangaa, walipofika Kilwa wakakuta majumba ya ghorofa, mtawala wa kiswahili, sahani za chaina, nyumba zina rangi ambapo hata huko walikotoka walikuwa hawajui rangi ni nini. Kanzu za lasi na magauni ya hariri, ambapo hata huko walikotoka walikuwa hawajui hariri wala lasi. Washenzi (wabara) waliostaarabishwa na Waswahili leo hii hawawezi wakamsifu Kikwete kwa sababu tu, yu Mswahili.
mbona wewe sio mstaarabu? Kwanza iyo history umedanganywa wapi?
 
jk-makete-1.jpg


Nani Kama Kikwete?

....Naam ikija kwenye kujigaragaza hakuna kama Kikwete! lakini ikija kwenye kufanya maamuzi mazito ili kuinusuru nchi na uongozi kwa uongozi wake mbovu hakawii kutafuta safari ya haraka haraka ili akaendeleze uVDG
 
I doubt whether the other two presidents in East Africa can call a Press conference and encourage journalists to ask them questions they feel like asking in full public view (Television) without fear of retribution and scathing, scalding criticism.... Mr. Kikwete is a man of action and a person who is out to effect changes in the country the Tanzanian electorate served him on a silver plate.

go piss urself!
 
Sifa ya Kwanza ya Kikwete ni Mswahili. Waswahili ni watu wa pwani ya Afrika Mashariki na lugha yao mama ni kiswahili, Bwagamoyo ni moja katika machimbuko ya Waswahili.

Sifa kuu ya Waswahili ni ustaarabu wao ulioanza kabala ya wengime wote waliotoka bara, bara kwa maana mbali na bahari. Utamaduni waliokuwa nao Waswahili uliwashngaza hata wazungu wa kwanza waliotua pwani ya waswahili (si vasco da gama, vasco hajashuka pwani aliishia melini).

Wazungu walishangaa, walipofika Kilwa wakakuta majumba ya ghorofa, mtawala wa kiswahili, sahani za chaina, nyumba zina rangi ambapo hata huko walikotoka walikuwa hawajui rangi ni nini. Kanzu za lasi na magauni ya hariri, ambapo hata huko walikotoka walikuwa hawajui hariri wala lasi.

Washenzi (wabara) waliostaarabishwa na Waswahili leo hii hawawezi wakamsifu Kikwete kwa sababu tu, yu Mswahili.

Now naanza kupata picha halisi who is FF, so in answering ur massages someone has to shut down akili ili aendane na ww na upeo wako! Was wondering why unakuwa topic humu JF, nadhani hilo neno la kufaa ww za zaidi
 
Tanzania ni nchi yake ya mapumziko mafupi huku akiwa akipanga ajielekeze wapi si unajuwa pana amani..sasa yupo geneva vile???
 
watu kama wewe huwa hamkosekani kubeza jitihada za mheshimiwa raisi......unajua tangu kaingia ni kilomita ngapi alizojenga kiwango cha lami...

rais anajivunia kuwa na vilaza wengi kama wewe wanaodhani wasanii ni maendeleo kwa nchi. Kukaa chini hapo ndo kupenda wananchi au alpenda tumbo lake na njaa zake zinamfikisha kuomba kura kwakukaa chini?

Anapenda wazima, wenye matatizo au wenye afya na shibe yakutosha?

Muhimbili hosptal wanalala chini wagonjwa ama watatu per bird, tarime wodi ya wazazi imefungwa kwa uchafu tena aibu kuwa ni ya wilaya. Hakuna lolote hapo
 
watu kama wewe huwa hamkosekani kubeza jitihada za mheshimiwa raisi......unajua tangu kaingia ni kilomita ngapi alizojenga kiwango cha lami...

hakuna lolote hapo. Anapenda low profile popularity. Nchi imemshinda ndo maana anajionyesha ovyoovyo. Wasanii si maendeleo yetu kwani wakati angombea urais alinadi kukutana na wasanii wengi kadiri awezavyo?

Hicho si kipaumbele cha watanzania ni chake binafsi
 
Actually Mr. Kikwete is an international president.....yeye hana nchi kamili, nchi yake ni ya kufikirika....na kazi yake kubwa ni kutembelea nchi nyingine....ametembelea Marekani, South Africa, Tanzania (hii anapenda kuitembelea sana) na Nchi nyingine nyingine.
nimecheka sana.....lakini kwenye nyekundu kamwe haiwezekani labda ungesema ni mtarii wa kimataifa kwanini kama angekuwa raisi wa dunia angekuwa na sauti huko anakokwenda lakini kwa sababu ni mtarii tu hana ubavu huo.....
 
hakuna lolote hapo. Anapenda low profile popularity. Nchi imemshinda ndo maana anajionyesha ovyoovyo. Wasanii si maendeleo yetu kwani wakati angombea urais alinadi kukutana na wasanii wengi kadiri awezavyo?

Hicho si kipaumbele cha watanzania ni chake binafsi
nitakushangaa sana ukiendelea kujibishana na yo yo au hujui kwanini kaleta bandiko hili....lol
 
Hapa alikuwa akicheza "pembe la ng'ombe"............................ ah! Kikwete weeeeee!!!!!

Anapenda Utamaduni wa Mrundi eeeeeh??? Maana naona ngoma anayopiga hapo ni ya Kirundi na tunaambiwa rais anayependa utamaduni...Makubwa!!!!!!!??????
 
kweli anatufaa, naona hapo katika picha ( ya kwanza) yuko na wasanii wenzake ndio maana sanaa haiishi bongo.
 
We mkenya kamsifie Kibaki na Raila,yetu tuachie kama mnampenda sana aje Kenya akagombee mumpe urais.bull shit.
 
Back
Top Bottom