andry surlbaran
Senior Member
- Apr 13, 2011
- 166
- 20
huyu jamaa alitakiwa kuwa afisa utamaduni wilaya....bisheni
ha ha ha ha ha u always made my day!
huyu jamaa alitakiwa kuwa afisa utamaduni wilaya....bisheni
Nani Kama Kikwete?
Hilo pozi lilikuwa la kuombea kura! Hutaliona tena!
Nani Kama Kikwete?
mkuu chunga mabandiko yako pls.....hizo kauli mkuu wa nchi mwenye kipaji na usikivu kwa wananchi wake kama JK hawezi zisema...ni propaganda za magazeti na wapinzani wasiokuwa na shukrani hata kwa kile anachokifanya Mhesh Rais
hilo pozi lilikuwa la kuombea kura! Hutaliona tena!
Actually Mr. Kikwete is an international president.....yeye hana nchi kamili, nchi yake ni ya kufikirika....na kazi yake kubwa ni kutembelea nchi nyingine....ametembelea Marekani, South Africa, Tanzania (hii anapenda kuitembelea sana) na Nchi nyingine nyingine.