miaka sita, saba kasoro
mimi nauliza swali utakomaa lini? Nchi yetu inazidi kurudi nyuma
ulipomaliza miaka yako mitano ulisema unajifunza, je hadi sasa unajifunza?
unairudisha nyuma mwenyewe kwa kujibwetekesha na kusubiri chakula uletewe mpaka mdomoni kwako. Na ukiendelea hivo mbona milele utalalamika njaa. Halafu ivi ulimpa kura yako? Mbona unakaa una muandika andika? Nyie simnasema raisi wenu ni slaa basi muulize uliyempa kura yako.