Jakaya Kikwete na Ridhiwani, wageni rasmi kwenye sherehe za Jando na Unyago huko Msoga

ukitaka kujua kwa nini wanazima umeme na kutesa watu au kwa nini watoto albino hawakuwa protected na walitekwa kuuliwa na kukatwa viungo angalia tu matendo ya watawala wetu, hata umeme upo na na wanakata makusudi sababu ya matambiko, nina uhakika kwa 100% raisi mstaafu kikwete hakumpeleka ridhwani unyago kama alitairiwa alimpeleka hospitalini na nina uhakika kama ridhwani ana mtoto hakumpeleka unyago bali hospitalini and the question is kama unyago ni mzuri kwa nini wao wasipeleke watoto wao kwa nini utamaduni uenziwe na wengine tu?

nchi hii adui mkuu wa maendeleo ni uislamu wa tanzania ambao aidha haueleweki na wajiitao waislamu au wenyewe ni tatizo lkn mara nyingi uislamu hauwezi kuwa na tatizo kwani umetumika jamii nyingine kuleta maendeleo na ustaarabu hivyo tatizo ni waislamu wa tanzania na watu aina hii tunategemea watuvushe 20th century kweli?
Una Stress mbaya mno ondosha Kwa chuki iliyopo ndani ya nafsi yako ili ubaki mwema kama ulivo.Kinachokusumbua ni chuki iliyopo ndani mwako.
 
Kwahiyo ni wageni rasmi katika sherehe yao wenyewe.

Hii ni kama kusema leo tumepata mgeni nyumbani ambae ni baba mwenye nyumba anaeishi hapo hapo.

Anyways ni wakati wao huu kila wanachofanya ni headline. Hata kutahiri watoto wao.

Pia hongera kwao kwa kuenzi mila na jadi.
Huyu mzee anapenda sana hizo shughuli, kuna kipindi alikuwa hakauki kule kwa mfalme Mswati wa Swaz
 
sawa, swali je ridhwani alipelekwa unyago na raisi kikwete? au yeye ridhwani kama ana mtoto kampeleka kwenye huo unyago? jibu lake wewe mwenyewe unalijua kwamba ni no, sasa kwa nini huo unyago kama ni mzuri uwe kwa watoto wa wengine tu?
Mtoto wa riz yupo hapo ..na yy mwenyewe na Dada ake Dr salama wote wamekaa unyago

Kwa JK huo utamaduni uko toka akiwa mambo ya nje hadi sasa
 
Hivi vitu tuna vidharau ila ndivyo vilivyo toa wazee mashababi na wanawake bora.

Siku hizi ni vice versa,tumewaachia wapiga soga wa mitandaoni na wanasaikolojia. Kuna kuna mtu sababu tu ya uwezo wake wa kifedha,watoto zake wakisha balehe ana wapeleka kwa wanasaikolojia, upuuzi mtupu. Utakuta hata yy mwenyewe hajampa basic ya nini cha kufanya baada ya kubalehe.
 
Hao walichezwa ngoma tu tunaita, sio kutailiwa wala kukeketwa. Hao wamefundishwa tu tamaduni, nadhani kikwete amefikiria yeye yupo pale msoga ila hafanyi hivo vtu wakati jamii inayo mzunguka hucheza ngoma kila mara watoto wao wakifika umri flani.
Na kikwete wala mwanae hawakua wageni rasmi. Wao ndio wenye shughuli, hao ni wajukuu wa kikwete wote. Hamna haramia hapo, na pia ni watoto baadhi ya ridhiwani kikwete,ally kikwete na watoto wa wajukuu wa dada wa kikwete.
Hyo ilikua shughuli ya kifamilia. Na hata siku ya pili,familia nyingine hapo msoga ilifanya kitukama hiko.
Wakwere kwa ngoma. Ndio hyo sasa
 
ukitaka kujua kwa nini wanazima umeme na kutesa watu au kwa nini watoto albino hawakuwa protected na walitekwa kuuliwa na kukatwa viungo angalia tu matendo ya watawala wetu, hata umeme upo na na wanakata makusudi sababu ya matambiko, nina uhakika kwa 100% raisi mstaafu kikwete hakumpeleka ridhwani unyago kama alitairiwa alimpeleka hospitalini na nina uhakika kama ridhwani ana mtoto hakumpeleka unyago bali hospitalini and the question is kama unyago ni mzuri kwa nini wao wasipeleke watoto wao kwa nini utamaduni uenziwe na wengine tu?

nchi hii adui mkuu wa maendeleo ni uislamu wa tanzania ambao aidha haueleweki na wajiitao waislamu au wenyewe ni tatizo lkn mara nyingi uislamu hauwezi kuwa na tatizo kwani umetumika jamii nyingine kuleta maendeleo na ustaarabu hivyo tatizo ni waislamu wa tanzania na watu aina hii tunategemea watuvushe 20th century kweli?
Wajukuu zake wapo hapo …
 
Kitu pekee ambacho watu wasichojua ni kuwa, huko watoto hawapelekwi kutahiliwa siku hizi, wanatahiliwa hospital isipokuwa kwenye jando na unyago unaenda kufundishwa elimu mbalimbali za kimila, kijamii pamoja na kufanya matambiko kwenye mizimu.
Haya ni mambo ya kijima na ya zama za giza.
 
Hao walichezwa ngoma tu tunaita, sio kutailiwa wala kukeketwa. Hao wamefundishwa tu tamaduni, nadhani kikwete amefikiria yeye yupo pale msoga ila hafanyi hivo vtu wakati jamii inayo mzunguka hucheza ngoma kila mara watoto wao wakifika umri flani.
Na kikwete wala mwanae hawakua wageni rasmi. Wao ndio wenye shughuli, hao ni wajukuu wa kikwete wote. Hamna haramia hapo, na pia ni watoto baadhi ya ridhiwani kikwete,ally kikwete na watoto wa wajukuu wa dada wa kikwete.
Hyo ilikua shughuli ya kifamilia. Na hata siku ya pili,familia nyingine hapo msoga ilifanya kitukama hiko.
Wakwere kwa ngoma. Ndio hyo sasa
Sawa sawa uko sahihi kbs
 
Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Mhe Ridhiwani Kikwete, Mbunge wa Chalinze ambaye pia ni Naibu Waziri katika Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, wakitembelea vijana kambini kwao usiku kijijini Msoga wilaya ya Chalinze mkoani Pwani ukoo wa Kikwete walikuwa na sherehe kubwa ya jando na unyago.

Wavulana na Wasichana hao waliotoka siku hiyo ni wajukuu wa Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete na kaka zake na dada zake.
View attachment 2861386View attachment 2861387View attachment 2861388View attachment 2861389
Angetembelea Mbowe leo wote wangekuwa mahakamani kwa kosa la utesaji watoto.
 
Back
Top Bottom