Nyalotsi
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 6,978
- 5,025
Mkwereee anafaidi kweli atakua na la kusimulia wakati atakapostaafu kwakweli!
sometime elimu ya mke inasaidia kwenye ushauri. Mke akiwa kichwa maji na we punguwani matokeo ndo haya. Anajali kutanua zaidi badala ya kushughulikia matatizo ya uchumi nchini mwake.