mpayukaji
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 940
- 349
[h=3]Vasco da Gama na Imelda Marcos wako Brazil[/h]
Vasco da Gama na Imelda Marcos wakishuka kwenye uwanja wa ndege wa Sao Paulo
Pamoja na kupigiwa kelele kuacha ziara zisizolingana na hali ya uchumi wetu, rais Jakaya Kikwete aka Vasco da Gama na mkewe Salma aka Imelda Marcos wako Brazil kujivinjari. Ameandamana na watu wangapi na wa aina gani? This is top secret. Kwanini deni la taifa lisiumke? Baada ya kuona nafuu ya Kanumba inapungua, ametafuta tukio jingine la kukwepa aibu kama kawa! Kweli yetu ni Danganyika! Anavyojipelekapeleka, hakuna hata rais mwenzake kumpokea! Ama kweli tumepata watawala baada ya kiongozi wetu Mwalimu Nyerere kututoka.
Vasco da Gama na Imelda Marcos wakishuka kwenye uwanja wa ndege wa Sao Paulo
Pamoja na kupigiwa kelele kuacha ziara zisizolingana na hali ya uchumi wetu, rais Jakaya Kikwete aka Vasco da Gama na mkewe Salma aka Imelda Marcos wako Brazil kujivinjari. Ameandamana na watu wangapi na wa aina gani? This is top secret. Kwanini deni la taifa lisiumke? Baada ya kuona nafuu ya Kanumba inapungua, ametafuta tukio jingine la kukwepa aibu kama kawa! Kweli yetu ni Danganyika! Anavyojipelekapeleka, hakuna hata rais mwenzake kumpokea! Ama kweli tumepata watawala baada ya kiongozi wetu Mwalimu Nyerere kututoka.