Jakaya Kikwete na Imelda Marcos wako Brazil kujivinjari kwa siku tano

Kampelekea mwigizaji wa tz wa zamani maximo tarifa za kifo Cha the great wao na kumwambia katoa ml.10 za ubani.
 
hana cha maana cha kufikiri kuleta hali ya maisha bora kwa kila mtanzania si kwa ari mpya, nguvu mpya na kasi mpya wala ari zadi, nguvu zaidi na kasi zaidi. Hivyo walau awe Vasco da gama ili aje akumbukwe walau kwa hilo maana amelifanya kwa ari, nguvu na kasi mpya na sasa ameongeza ari, nguvu na kasi zaidi kabla hajamaliza kipindi chake cha urahisi
 
duuh huyu jk cjui ni vp yan xaxa iyo ndo kazi ilo mpeleka ikuuluu kuxafira xafiri ovyo like dat dah
hata haipendezi bna ulimbukeni 2 huo wa madaraka xaxa ana maanagan xaxa kama co 2 kupoteza hela pasipo 7bu hata co vzur bna ok bado 2 miaka yake cjui m3 a2toke bna 2me mchoka bna nukta.

lugha gani umeandika hapa? unadhani uko facebook hapa? andika lugha inayoeleweka..!
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom