Vichwa hivi tunavyo, tunavitumia kufikiri si kufuga nywele lol
aisee, alikuwa akimjibu Lissu.
Napenda mipasho jamani, hivi wazazi si wangenisomesha taarabu tangu nikiwa pureimari saa hivi ningekuwa namzidi Mzee Yusufu?
Kongosho mbona hivyo hili jibu lili nisabibishia stress leo mchana, nili kereka sana nilipo kuwa jukwaa la siasa, sasa umelileta huku.
Huyu jamaa ni zaidi ya mzee yusuph!
Kongosho naomba hii hoja hisijadiliwe hiko mahakamani.
Hilo sakata nilikua nalifatilia hatua kwa hatua.
Btw sikuridhishwa sana na Yustino Job , kuifanyia uzito hoja ya Tundu hasa ninapoiwazia ililenga kujadili Tragedy ya kuzama meli .
mzee, pindisha basi kidogo?
Hapo tupo kichit chat zaidi, poleni kwa mloumizwa.
wameniweka kitengo gani??
Kama cha propaganda naenda ila kama cha kuchalenji bajeti sitaki.
Nimeshanunuliwa.
Vichwa hivi tunavyo, tunavitumia kufikiri si kufuga nywele lol
aisee, alikuwa akimjibu Lissu.
Napenda mipasho jamani, hivi wazazi si wangenisomesha taarabu tangu nikiwa pureimari saa hivi ningekuwa namzidi Mzee Yusufu?