Muda huu aliyekuwa Waziri Mkuu Jaji Warioba anafanya mahojiano katika kipindi Cha dk 45 ITV na mapendekezo yake ni kuwa katiba mpya ipatikane kabla ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.
My take; kama tunawaheshimu hawa wazee tuheshimu kwanza maoni na maono Yao. Ikumbukwe ndiye alikusanya maoni ya wananchi kuhusu upatikanaji wa katiba mpya.
---
Ninachoamini, ni kwamba , kuna umuhimu wakufanya mabadiliko kwenye katiba,huo umuhimu upo
La pili ambalo, wananchi walizungumzia sana, ni mgawanyo wa madaraka, kwanza kati ya wananchi na uongozi.
Matatizo tunayafahamu yako wapi katika kubadili Katiba,...tujadiliane tufikie uamuzi, na sio suala rahisi, ni gumu lakini viongozi wakae
Hata hawa viongozi, sio wote wanaijua
Viongozi wakae na kuwaonyesha njia wananchi
Tuwe na kampeni ya miaka mitatu ya maendeleo badala ya kampeni ya katiba, elimu ya katiba ilikwisha tolewa, wananchi wanajua changamoto zao
Kuna sheria nyingi sana zinazowahusu wananchi hata kama hawazijui, hata kwenye uelewa wa katiba ni hivyohivyo, inaweza kupatikana hata kama walio wengi hawaijui lakini wanaweza kuifuata
Wananchi hawana mipaka, wanajua haki za uraia wao, wanashirikiana kila upande, kwa wananchi muungano upo imara, tatizo lipo kwa viongozi wetu
Viongozi wanapaswa kuitazama nchi kwa upana, kuna mambo mengi ambayo wananchi hushirikishwa baada ya viongozi kufanya maamuzi
Kuna mambo ukiyatazama unaona kabisa yataipeleka nchi pabaya hata kama yanafanywa na sisi viongozi
Tume ya Jaji warioba ilitoa elimu kubwa sana, kwanza ilipeleka nakala za katiba nchi nzima,na kila kwenye mkutano wajumbe wa tume walikuwa wanaeleza misingi ya katiba
Viongozi wote wanazijua kero za Muungano, tatizo lipo kwenye utaratibu wa kufikia maamuzi
Wapo viongozi hawapendi mabadiliko, wapo wanaodhani hoja ya katiba mpya ni kwa ajili ya kuiondoa serikali iliyopo madarakani
Tume ya Jaji Warioba ilishatoa mapendekezo yake, viongozi wataona wenyewe wayafanye nini
Tunahitaji mabadiliko ya Katiba mpya
Kupata katiba mpya hakuhitaji idhini ya rais kwasababu katiba ni ya wananchi, wananchi wakiamua wameamua,wala rais hatii saini
Kama tukifika 2025 bila katiba mpya, viongozi wategemee suala la katiba mpya litachukua mjadala mkubwa sana
Hata kama kusingekuwepo na mchakato wa katiba mpya lakini kwa mapungufu tuliyoyaona hivi karibuni suala la katiba mpya halikwepeki ili haki ya wananchi ionekane
Sheria ya uchaguzi nia yake ni kumuwezesha wananchi kupiga kura ili yule waliyemchagua awe kiongozi wao na si vinginevyo
Huwezi kuwa kwenye misingi ya kidemokrasia alafu ukawa na katiba tofauti na nchi zinazofuata misingi ya kidemokrasia
Haya yanayoendelea sasa yana dalili za kutugawa
My take; kama tunawaheshimu hawa wazee tuheshimu kwanza maoni na maono Yao. Ikumbukwe ndiye alikusanya maoni ya wananchi kuhusu upatikanaji wa katiba mpya.
---
Ninachoamini, ni kwamba , kuna umuhimu wakufanya mabadiliko kwenye katiba,huo umuhimu upo
La pili ambalo, wananchi walizungumzia sana, ni mgawanyo wa madaraka, kwanza kati ya wananchi na uongozi.
Matatizo tunayafahamu yako wapi katika kubadili Katiba,...tujadiliane tufikie uamuzi, na sio suala rahisi, ni gumu lakini viongozi wakae
Hata hawa viongozi, sio wote wanaijua
Viongozi wakae na kuwaonyesha njia wananchi
Tuwe na kampeni ya miaka mitatu ya maendeleo badala ya kampeni ya katiba, elimu ya katiba ilikwisha tolewa, wananchi wanajua changamoto zao
Kuna sheria nyingi sana zinazowahusu wananchi hata kama hawazijui, hata kwenye uelewa wa katiba ni hivyohivyo, inaweza kupatikana hata kama walio wengi hawaijui lakini wanaweza kuifuata
Wananchi hawana mipaka, wanajua haki za uraia wao, wanashirikiana kila upande, kwa wananchi muungano upo imara, tatizo lipo kwa viongozi wetu
Viongozi wanapaswa kuitazama nchi kwa upana, kuna mambo mengi ambayo wananchi hushirikishwa baada ya viongozi kufanya maamuzi
Kuna mambo ukiyatazama unaona kabisa yataipeleka nchi pabaya hata kama yanafanywa na sisi viongozi
Tume ya Jaji warioba ilitoa elimu kubwa sana, kwanza ilipeleka nakala za katiba nchi nzima,na kila kwenye mkutano wajumbe wa tume walikuwa wanaeleza misingi ya katiba
Viongozi wote wanazijua kero za Muungano, tatizo lipo kwenye utaratibu wa kufikia maamuzi
Wapo viongozi hawapendi mabadiliko, wapo wanaodhani hoja ya katiba mpya ni kwa ajili ya kuiondoa serikali iliyopo madarakani
Tume ya Jaji Warioba ilishatoa mapendekezo yake, viongozi wataona wenyewe wayafanye nini
Tunahitaji mabadiliko ya Katiba mpya
Kupata katiba mpya hakuhitaji idhini ya rais kwasababu katiba ni ya wananchi, wananchi wakiamua wameamua,wala rais hatii saini
Kama tukifika 2025 bila katiba mpya, viongozi wategemee suala la katiba mpya litachukua mjadala mkubwa sana
Hata kama kusingekuwepo na mchakato wa katiba mpya lakini kwa mapungufu tuliyoyaona hivi karibuni suala la katiba mpya halikwepeki ili haki ya wananchi ionekane
Sheria ya uchaguzi nia yake ni kumuwezesha wananchi kupiga kura ili yule waliyemchagua awe kiongozi wao na si vinginevyo
Huwezi kuwa kwenye misingi ya kidemokrasia alafu ukawa na katiba tofauti na nchi zinazofuata misingi ya kidemokrasia
Haya yanayoendelea sasa yana dalili za kutugawa