Ibambasi
JF-Expert Member
- Jul 25, 2007
- 9,277
- 4,683
Ni tofauti kabisa kama anga na bahari. Sema tu chuki na hasira yako kwa Magufuli inakufanya utafute kila sababu umchague Rais. Wewe tulia na uzoee. Magufuli ni Rais wetu mpaka 2025!Hii haina tofauti na maamuzi ya Magu kuukataa sasa mradi wa Bagamoyo wakati alipokuwa waziri hakuupinga na kama aliupinga kwenye baraza la mawaziri lakini hakujiuzulu bali aliunga mkono maamuzi ya wenzake kwahiyo hana tofauti na Jaji huyu mstaafu.