Magaidi wako Chadema, mnatumia nguvu kubwa na fedha nyingi kuwahonga Mahakama wawe upande wenu lakini wananchi wanajua kila kitu, nani alimwagia MUSA TESHA Tindikali huko Igunga?
naam,kweli mkuu.wapo wengi ndani ya serikali wanaobanwa na mfumo.binafsi kuna mtu namfahamu kuwa mchapakazi mkubwa sana asiependa ujinga alipokuwa ngazi za chini huku mpaka wale mafisadi wa ofisini walikuwa hawampendi.alikuwa hapendi ujinga mzee huyu.lakini nae mfumo umembana tangu aingie kwenye cabinet anafurukuta lakini najua kabanwa!ni huyu mzee Christopher Kajoro Chiza!ni jembe kweli yule lakini mfumo...kama ulivyosema.ok,bwana naona mtandao unanisumbua kweli let me logout!nasubiri hizo makala mkuu!
Wewe unahitaji msaada kichwani,!Ni nani anaejiita mpigania uhuru wa wengine? Je unaweza kurudisha sura ya yule kijana MUSA TESHA kwa kusingizia kauli yako? naomba ikuguse na uwe na huruma, jaribu kuvaa viatu vya kijana huyo halafu watuhumiwa wako waachiwe huru.
Kaka Mikael pole sana, fuatilia huduma ya mobile sms alert kutoka j.f imeshaanza ungekuwa umepata habari hii mapema kutoka source ya kuaminika. Mimi niliipata mapema sana.Taarifa nilizopata kutoka chanzo cha kuaminika lakini kisicho rasmi ni kwamba Msajili wa vyama John Tendwa amestaafu rasmi leo na Jaji Mtungi (nimepata jina moja) ameteuliwa kuwa msajili wa vyama.
Nawasilisha.
Hakuna jaji mwenye akili timamu atakayeimba ngojera ya John Tendwa ya kuifuta Chadema. Hiyo ni sawa na ndoto ya alinacha.
Kama walishindwa kwa Lema Arusha kwenye kata nne wataweza kwenye kata zaidi ya 400, wabunge wa kutosha na vijiji/mitaa kibao iliyoko chini ya Chadema?? wasubutu, waone.
Mutungi ni mtu mzuri,hope ataitumia vema taaluma yake.Dah!!Tendwa,pumzika kwa amani aise!
Leo sio siku nzuri kwa Mwigulu na Tendwa lakini nzuri kwetu na wapiganaji wote
Kaka Mikael pole sana, fuatilia huduma ya mobile sms alert kutoka j.f imeshaanza ungekuwa umepata habari hii mapema kutoka source ya kuaminika. Mimi niliipata mapema sana.