Jaji kufanya uchambuzi wa kurasa 1,500 ukaweza kutoa hukumu kwa siku mbili ni jambo lisilowezekana

..
Kule chamber wanakoitana huwa wanaongea kwa uwazi kabisa, prosecutor anaweza akaulizwa hadi hapa wewe unaona ume establish kesi ya kujibu? Wanafanya hivyo ili kurahisisha procedures zinazofuata.

Unaona jana akina Kibatala walipotoka chamber wakaachana kabisa na suala la submission wakati ilikuwa muhimu sana kwao

..waliachana na mambo ya submission kwasababu Jaji hataki.

..hukusoma kwamba Jaji aliuliza kwanini utetezi wanataka kufanya oral submission baada ya jamhuri kufunga ushahidi?

..nadhani Jaji anaogopa oral submission ya utetezi itakwenda kufanya uamuzi wake wa kuwadhulumu watuhumiwa kuwa mgumu na kuonekana sio wa haki.
 
Namimi nimepata wazo kama lako. Inawezakana pia hata Mbowe na Mawakili wake wanajua hilo. Ndio maana hawakupinga tarehe hiyo

Kitendo cha Mbowe kuitwa peke yake na kukakaa kikao yeye, Jaji na Mawakili wa pande zote mbili eti kujadili "chakula" kilileta matumaini kwamba kuna jambo kubwa linaweza kutokea

Lakini kitendo kilichothibitisha ni kile kikao cha pande zote mbili yaani Mashtaka na Utetezi kukutana na Jaji baada ya upande wa Mashtaka kufunga ushahidi wao na kisha wakakubaliana waliyokubaliana na Jaji akatamka atatoa Ruling katika siku tatu zijazo!

Yote kwa yote tunatamani hii kesi ifutwe. Iwe kwa Nolle, kwa hukumu au hapohapo kwenye Ruling Washtakiwa wasiwe na kesi ya kujibu

Mungu Awaongoze wote waliopewa Mamlaka ya kusimamia haki katika Taifa hili
Hivi ikifikia hapo kwamba jaji akasema watuhumiwa hawana kesi ya kujibu na mambo yakaishia hapo, ile list ya Kingai and his colleagues itakuwaje? Hadi CP Robert Boaz, bila kumsahau Lieutenant Denis Leo Urio.
 
I believe, kwa mtu yoyote anayeifanya kazi aliyoizowea, hadi hapo atakuwa alikuwa amechukua notes ya hizo 'facts' muhimu anazozihitaji kufikia uamuzi wake.

Msomi kwa kawaida hasomi kila kilichoandikwa kwenye andiko, mfano ktk kitabu kama unasoma hadi maandishi yanayosema "imechapishwa na Vuga Press, Lushoto." basi unahitaji maombi tu.
Kinyume chake ndio sahihi. Msomaji mzuri ni yule anajielimisha mpaka kuhusu author!
 
Kesi ya ugaidi ni vigumu kukutwa nayo kwa jinsi ushahidi ulivyo finyu. Ila kuna yule aliyekamatwa na silaha lazima awe na kesi ya kujibu.
 
kwa siku unasima watsapp messages ngapi?na kufanya maamuzi?
Hivi huwa unasoma hata vitabu kweli??, Yaan vijimeseji vya whstup ndio unalinganisha na page 1500??.

CCM ina watu wahovyo sana.
 
Mkuu aisee unafuatilia haswa..
kuna siku kulikuwa na case ndani ya case.. kuna swali Kibatala alimuuliza shahidi.., Mawakili wa Serikali wakajaribu kupiga kelele lisiulizwe.. ubishi ukatokea Jaji akawaita ofisini wakaongea kiutu uzima.
Waliporudi Kibatala akauliza mambo tofauti kabisa.. Sijui huko ofisini wanapatanishwa au kuna kitu gani
Kule chamber mnaongea friendly kabisa bila kushindana
 
Huyu dada huwa anakurupuka sana anajifanya mjuaji mno. Page 1400 za hukumu ni chache sana kwa siku mbili labda kwa faida ya wasiojua niwaeleze ili asiwadanganye.

Hukumu inatumia nafasi kubwa kwa maneno machache sana sababu Ina font ya Sans Serif Arial font tofauti na size ya font ni kubwa (12 size) na space kati ya sentence ni kubwa pia space kati ya paragraph ni kubwa.

Sasa hii inafanya page kuwa nyingi sana so mleta mada unaonekana huelewi.
 
Huyu dada huwa anakirupuka sana anajifanya mjuani mno. Page 1400 za hukumu ni chache sana kwa siku mbili labda kwa faida ya wasiojua niwaeleze ili asiwadanganye.

Hukumu inatumia nafasi kubwa kwa maneno machache sana sababu Ina don't ya Sans Serif Arial font tofauti na size ya font ni kubwa (12 size) na space kati ya sentence ni kubwa pia space kati ya paragraph ni kubwa.

Sasa hii inafanya page kuwa nyingi sana so mleta mada unaonekana huelewi.
We jamaa bwana! Ishu ya font ni hisia zako. Mtu kahojiwa siku nne na Kibatala hata waweke font ndogo kiasi gani kuna vitu vingi vimeingia kwenye rekodi kupitia maswali na majibu. Pia sio page za hukumu, ni page zilizorekodi hii hatua ya awali "cross examination"
 
We jamaa bwana! Ishu ya font ni hisia zako. Mtu kahojiwa siku nne na Kibatala hata waweke font ndogo kiasi gani kuna vitu vingi vimeingia kwenye rekodi kupitia maswali na majibu. Pia sio page za hukumu, ni page zilizorekodi hii hatua ya awali "cross examination"
Mie ni Wakili ndio maana nimeeleza Sasa ukitaka kubishana endelea na wenzio hiki ndio ninachokisema mie.

Tena hizo alizorekodi kwa maana ya kuandika kwa mkono ndio kabisa maana huwa anaandika kwa mcharazo tu zile main points pamoja Kuna kifaa maalum cha kurekodi siku hizi .
 
Uko sahihi kuona siku mbili ni chache sana kusoma na kutoa uamuzi. Lakini hukumu yoyote sio swala la siku moja au mbili au tatu. Kila SIKU jaji aliposikiliza mashahidi, maswali ya mawakili - ALITENGENEZA uamuzi mdogo. Alijiuliza maswali na alipata au hakupata majibu. Kuna maswali yake yatakuwa bila majibu (haya ndio yatatumiwa kutoa uamuzi wa kutokuwa na kesi ya kujibu - si juu ya Jaji kutafuta majibu). Kwa hakika jaji tayari ana uamuzi mara tu baada ya kusikiliza shahidi wa mwisho. Anachoenda kufanya ni kuandika uamuzi huo na hilo si jambo la kuchukua muda. Hawa majaji ni watu waliobobea na uwezo wao usilinganishwe na sisi tusiokuwa na utaalamu wala uzoefu.

Ninaona kuna kesi ya kujibu hasa kwenye silaha. Kuna kesi ya kujibu kwa sababu madai yaliyotolewa na upande wa mashtaka hayajatolewa ushahidi na upande wa utetezi. Kuna kesi ya kujibu na kwa kuwa tumeshaanza kusikiliza kesi, ni vema waTanzania wakaendelea kujua zaidi. Binafsi nina hamu ya kusikia utetezi ili kupata kufahamu nini hasa kilitokea. Ni vema kufanya uamuzi baada ya kusikiliza pande mbili.

Na kama hakutakuwa na kesi ya kujibu - Jaji atajikita zaidi kwenye PGO na jinsi kesi ilivoanzishwa, ilivopelelezwa. Kuna makosa mengi sana ya kipolisi yamefanyika katika kesi hii kwa sababu tu ya mazoea. Haitakuwa ni kwa sababu ya ushahidi kutotosha.
Kiongozi NewOrder nimeipenda analysis yako kiasi chake. Nikukumbushe tu kwa upande wa silaha na madawa mashitaka hawajaweza kuthibitisha kukutwa navyo watuhumiwa wakiwa eneo la tukio. Namaanisha hawajafanya forensic investigation ya kubaini kama ilikutwa kwa mtuhumiwa km vile kuchukua finger print kuona kama waliishika hiyo silaha same na madawa ya kulevya ambayo hayana uthibitisho wa kisayansi kama ni madawa ama unga tuu wakawaida. Kama Jaji alizingatia hayo hata hapo kesi inakuwa dismissed/no cae to answer.
 
Kesi ya ugaidi ni vigumu kukutwa nayo kwa jinsi ushahidi ulivyo finyu. Ila kuna yule aliyekamatwa na silaha lazima awe na kesi ya kujibu.
Kaka ile silaha haijadhibitishwaa pasipo shaka kama ilikutwa kwa watuhumiwa maana Polisi walibugi hawajachukua finger print ku identify ilegal possission of the fire army. Wangechukua ushahidi wa kushikwa kwa silaha kutoka kwa mtuhumiwa ingebainika kweli alikamatwa nayo. Mawakili walishauliza hayo katika cross examination.
 
Yeyote mwenye uelewa wa kawaida wa sheria, kama alikuwa anasikiliza ushahidi tangu mwanzo, anaweza kutoa maamuzi bila kusoma hizo kurasa.
Kusoma ni katika kujazia nyama maamuzi yake kwa ajili ya kumbukumbu kwa wale ambao hawakuwepo au kusikia.
 
. Huku family za watawala humo wanajirundikia vyeo na mamlaka.

Kama huwezi kusoma hata kuona huwezi ?!
Mimi nina cheo ila baba yangu alikuwa mkulima mdogo tu. Fanya kazi au kama una umri wa kusoma kasome acha kupiga tararira za siasa za kijinga humu.

Mtumikie Mbowe uone atakachofanya akipata madaraka labda uwe mchaga au uwe mwanamke mrembo kama Juyce Mukya
 
Back
Top Bottom