Kila mtu anakuja na gia yake mara nimeongea na polisi, mara mtu wangu wa karibu kaniambia, mara... mnajiridhisha tu, kile kipigo cha juzi si cha kawaida lazima mtafute mbinu ya kujiliwaza. Hata hivyo whatever, CCM si wajinga kiasi hicho wanajua kabisa hata wakirudia mara kumi Arusha hawashindi, kama wanataka kujifurahisha kwa miezi michache wajaribu lakini ndio wanakifanya CDM kizidi kufanya kampeni na kionekane kinashinda kila chaguzi ndogo.Juzi nilikuwa kwa rafiki yangu kiongozi wa juu sana serikalini akanihakikishia kwamba Tundu Lissu,Mnyika,na Godbless watapigwa chini
Bongo bana! Nasikia, nimeambiwa na jamaa yangu, kuna tetesi, kuna mchakato etc etc. Ndio maana Wakenya wanatudharau shauri ya maneno mengi vitendo hewa! Jaji kala rushwa, as if ilitangazwa redioni. Kama judge akibatilisha matokeo kuna court of appeal na huko ikishindikana kuna mahakama kuu kuliko zote- people. Watarudi kwenye sanduku la kura na hiyo ni free advetisment kwa CDM kwa kipindi chote cha campaign kuendelea kujulikana.As a matter of fact is not the best interest kwa CCM kama Mh Lema ataangushwaKila mtu anakuja na gia yake mara nimeongea na polisi, mara mtu wangu wa karibu kaniambia, mara... mnajiridhisha tu, kile kipigo cha juzi si cha kawaida lazima mtafute mbinu ya kujiliwaza. Hata hivyo whatever, CCM si wajinga kiasi hicho wanajua kabisa hata wakirudia mara kumi Arusha hawashindi, kama wanataka kujifurahisha kwa miezi michache wajaribu lakini ndio wanakifanya CDM kizidi kufanya kampeni na kionekane kinashinda kila chaguzi ndogo.
Nimesema mahali pengine watu mnawapa credit sana ccm kiasi kwamba hata kutishia hawajaribu tena wanahitaji kurusha majina mawili matatu na watu wanakuwa wanyonge ghafla. Lema anaendelea kuwa mbunge kesho hakuna cha Lowassa wala shemeji yake Lowassa. Anayetaka kusherehekea aanze tu sasa.
!
Nimesema mahali pengine watu mnawapa credit sana ccm kiasi kwamba hata kutishia hawajaribu tena wanahitaji kurusha majina mawili matatu na watu wanakuwa wanyonge ghafla. Lema anaendelea kuwa mbunge kesho hakuna cha Lowassa wala shemeji yake Lowassa. Anayetaka kusherehekea aanze tu sasa.
Acheni kuwapa ujiko hivyo!
:nono:
Kama EL na huyo James Millya wangekuwa hizo nguvu, yafuatayo yasingewezekana siku za nyuma
1) Sioi Sumari asingeangukia pua juzi
2) James Millya asingeangukia pua kwenye ile kesi ya kuwashwa kofi na Sendeka hadi kuzimia kwa saa
3) James Millya asingeangukia kisogo kwenye harakati za Bunge la Afrika Mashariki!
Hizi ni stori za kupandisha bia na wao kujifariji kwa anguko lao.
habari za baa zinafikaje jf?
Atajiabisha sana huyo Jaji kwa sababu hiyo kesi hata asiye kuwa Jaji anajua hakukuwa na kesi yeyote kwa sababu ushaidi ulipishana mno kati ya mashaidi hakuna hata mmoja aliyethibitisha yale waliodai
Juzi nilikuwa kwa rafiki yangu kiongozi wa juu sana serikalini akanihakikishia kwamba Tundu Lissu,Mnyika,na Godbless watapigwa chini
Mkuu kesi itakuwa saa ngapi alhamisi!