Nimesema mahali pengine watu mnawapa credit sana ccm kiasi kwamba hata kutishia hawajaribu tena wanahitaji kurusha majina mawili matatu na watu wanakuwa wanyonge ghafla. Lema anaendelea kuwa mbunge kesho hakuna cha Lowassa wala shemeji yake Lowassa. Anayetaka kusherehekea aanze tu sasa.
Acheni kuwapa ujiko hivyo!
Ccm nikama kichwa cha mwenda wazimu wanauona ukweli lakini hawataki kuuona ukweli.
kwanza wasijaribu kabisa kumuingilia mbunge wetu kwani naamini hapo Arusha itatokea vita ambayo haijawahi tokea katika historia ya nchi hii.
chonde chonde enyi ccm msijaribu wala kufikiria hii kitu mtajajuta kumbukeni Arusha si yenu tena.
Wanauona ukweli lakini hawataki kuukubali ukweli
Mkuu FilipoMkuu,
Hicho ni kizazi kilicholelewa kwa kufundishwa woga! Hawajiamini na wamekuwa kama Mbwa koko. Muda wote mkia ...... Hata m/kiti wa mtaa/kitongoji ni kama Mungu kwao. Wanakuwa moulded kwamba ukitaka maisha yako yaende vizuri lazima uisapoti ccm! Ni vigumu kuwa kuamini jaji anaweza kutenda haki. Wanachojua ni kwamba maisha yanaenda kwa kutelekeza matakwa ya ccm!
Naamini mafuriko ya mageuzi yatawazoa na kuwabadilisha maana ukijaribu kuwaelimisha watabaki wanakushangaa wewe ni wa wapi, na huijui tz!