edwayne
JF-Expert Member
- Apr 5, 2013
- 8,879
- 9,678
Alitaka shika yote.. Ukute kuna mtu anacontrol mchezoAcha mwanasheria wake aendelee kumlia pesa. Ikute atamwambia akate rufaa tena. Labda wataenda kuvutana hivyo hivyo mpaka wamoja wao wafe.Kwanza Jack mjinga angekubali tu kugawiwa urithi kisheria bila hilo will.Kwanza wanae ndo future wamiliki wa IPP ukizingatia Regina na mdogo wake hawana watoto.