Jacqueline Mengi aendelea kudondokea pua rufaa, mahakama yaondoa maombi yake ya kutaka kuurudisha wosia

Acha mwanasheria wake aendelee kumlia pesa. Ikute atamwambia akate rufaa tena. Labda wataenda kuvutana hivyo hivyo mpaka wamoja wao wafe.Kwanza Jack mjinga angekubali tu kugawiwa urithi kisheria bila hilo will.Kwanza wanae ndo future wamiliki wa IPP ukizingatia Regina na mdogo wake hawana watoto.
Alitaka shika yote.. Ukute kuna mtu anacontrol mchezo
 
Acha mwanasheria wake aendelee kumlia pesa. Ikute atamwambia akate rufaa tena. Labda wataenda kuvutana hivyo hivyo mpaka wamoja wao wafe.Kwanza Jack mjinga angekubali tu kugawiwa urithi kisheria bila hilo will.Kwanza wanae ndo future wamiliki wa IPP ukizingatia Regina na mdogo wake hawana watoto.
Akina regina watawaachia ndugu zao. Kwani wao si watakua na shares kubwa kuwazidi? Kuna zao 25% jumlisha za mama yao hapo halaf bado za baba yao. That means wakina regina wanakua majority shareholders. Wataamua wawaachie kina nani shares zao. Kwa huu uhasama unadhani hawa watoto watakua salama despite the fact kwamba ni wadogo zao?

Hii vita jacky aliyoitengeneza atajutiaga mpaka kaburini. Kiuhalisia, ukishanipeleka mahakamani we shall never ever sit under one roof... ngumu mno. Huu uhasama ukijumlisha na mazingira mengi aliyofariki heeee heeee yewomiiii...
 
1. Hivi wanaume kwanini mnaendaga kuoa vibinti teke mkiwa kwenye seventies huko? Mnadhani kabisa wanawapenda? Yani watoto wako ambao wamesota na wewe mmeinuka wote wanakuja kugombea mali na kimwanamke ambacho hata hakijui bei ya glass hapo nyumbani ni sh ngapi?

2. Jacky anajikuta nani kudai mali kibabe hivyo? Shame on her. Mashume wenzie wanatetea eti ooh ni mke. Mke my foot. Ndo utake wingi wa mali hivyo? Wewe kama nani? Jacky doesn’t deserve hivyo. Bora afanyiwe child support ya mwezi na ada aende. Hakuna cha kampuni wala nini. Kampuni alianzisha nae?


I hate gold diggers
Hiyo gold diggers umenikumbusha kitabu Cha kinigeria, hadithi tam sana
 
Kyln hajawai kushinda, alishinda pingamizi tu alilowekewa na ile familia kuhusu Marejeo yake yasisikilizwe baada ya Rufaa zote nane kugonga mwamba. Mahakama ikaamua asikilizwe ndio hii marejeo aliyoomba hukumu imetoka kadondoka tena.
Angekaa na familia waongee kikubwa
 
Ushauri kwa wanaolewa na wazee!! Jitahidi wakati wa uhai wa Mzee kufungua miradi mingi kwa kutumia pesa za Mzee. Hiyo miradi ikiwa kwa jina lako hakuna wa kukusumbua pindi Mzee anapoachia ngazi. Jenga hata nyumba kwa jina lako, usiitegemee mirathi.
 
Acha mwanasheria wake aendelee kumlia pesa. Ikute atamwambia akate rufaa tena. Labda wataenda kuvutana hivyo hivyo mpaka wamoja wao wafe.Kwanza Jack mjinga angekubali tu kugawiwa urithi kisheria bila hilo will.Kwanza wanae ndo future wamiliki wa IPP ukizingatia Regina na mdogo wake hawana watoto.
Sahih hat mm goroko nililiona hili
 
Nakwambia inatia hasira. Wanaume wanakwambia usinifatilie ila nje anazaa kama kumbikumbi. Na walivyo na roho ndogo wanakufa wanaacha vifaranga huko nje wanakuja kugombea na mke ambae amesota kujenga na mumewe. Na huwa wanaona ni sawa tu. Na saizi mahawara wamekazana kuzaa haswa. Unakuta mke ana watoto wawili yeye anapiga watatu anajua kizee kikifa ye na ngedere wake watapata haki. Hivi mwanaume kuzaa mtoto wa kwanza hadi wa tatu nje huwa ni ulimbukeni au
Ndugu zangu kina Mama dawa yao ni hii,kila.unachochuma nae andikeni umiliki kwa majina yenu halisi,yani Anastazia John na Jackson Mwakalinga. Hapo likitokea la kutokea kwanza ile share yako wewe inakuwepo kama kawaida ambayo ndiyo ya watoto wako.

Ile ya kwake 50% iliyobaki ndiyo igawanywe kwa hao vifaranga wake wote na aliozaa huko nnje,mwisho wa siku watoto wako wanakuwa na ile 50% yako na watachanganya na kile walichopata kwa Baba yao,bado watakuwa juu. Hii ndiyo inawaokoa watoto wa Mengi wale wakubwa. Wana share ya mama yao 50% kabla ya yote
 
Mkuu uzuri watoto watakuwa watu wazima watajiunga na ndugu zao. Hao watoto kwa wachagga hawataachwa na urithi watapewa kabisa maana hata shule walikuwa wanasomeshwa vizuri? Alipotaka kwenda kuishi Dubai kwa lile Danga lake ndiyo akaleta bill ya Ada ya kutupwa na familia Ika stop ushenzi huo. Yaani kukekule alikofia Baba yao na kulekule ambako walimkuta hayuko na mgonjwa!!!! Ndiko huko alipanga kupeleka watoto na yeye kuishi huko.
Duuh yaani kwa matukio haya ni rahisi kuamini kuwa kifo cha bilionea kina utata hata kama hahusiki.
 
Acha mwanasheria wake aendelee kumlia pesa. Ikute atamwambia akate rufaa tena. Labda wataenda kuvutana hivyo hivyo mpaka wamoja wao wafe.Kwanza Jack mjinga angekubali tu kugawiwa urithi kisheria bila hilo will.Kwanza wanae ndo future wamiliki wa IPP ukizingatia Regina na mdogo wake hawana watoto.
Shida unakuta wanasheria hapo ndipo wanalia pesa na mshauri wake Mkuu dada mtu na yeye anawaza kutapeli tu.Mwisho wa siku atagundua it's too late na wakati huo huo kesha waharibia hata watoto wake future zao.

Imagine watoto wanakuwa na kisha wanaujua ukweli wote tena kwa facts za Mahakama?
 
Ni k
Danga limeangukia tena pua. Yaani Mali amezikuta anataka kufilisi familia,,? Haiwezekani kabisa. Amejenga uadui na hii familia kizembe Sana. Yaani mchagga ukishampeleka Mahakamani hamtakaa mkae meza Moja milele. Kwa Heri Gold Digger. Kwa Heri International Danga. Kaendelee tu kudanga maana ndicho unachofahamu. Na Ile kampuni Amorate Furniture uliua ukijua kuna pesa ya wosia fake. Swine mkubwa wewe. Ulitumalizia kipenzi cha watanzania. Yaani wale wamama,vijana na walemavu alikuwa anasaidia watakulaani wewe Danga Jack Ntubaliwe. Watanzania tuna hasira na hili Danga. Mzee Mengi amechangia Uchumi wa hii nchi halafu anaenda kufia ugenini kwa utata. Ndiyo maana hukudondosha hata chozi Moja. Yaani anaingizwa kaburini hata kope hukukunja Danga. Mnaomfamu mfikishieni hizi salamu.
Kawaida sana kwa Matajiri na watu waliofanikiwa wwnatumia muda wa ujana wao kujenga future zao. Baadae sana ndio wanakumbuka kuwa hawakufurahia maisha. Ndio hapo sasa wanaanza kujitafutia matatizo kwa kuhang na vijana.

R.I.P Mengi( PhD causas)
 
Ndugu zangu kina Mama dawa yao ni hii,kila.unachochuma nae andikeni umiliki kwa majina yenu halisi,yani Anastazia John na Jackson Mwakalinga.Hapo likitokea la kutokea kwanza ile share yako wewe inakuwepo kama kawaida ambayo ndiyo ya watoto wako.Ile ya kwake 50% iliyobaki ndiyo igawanywe kwa hao vifaranga wake wote na aliozaa huko nnje,mwisho wa siku watoto wako wanakuwa na ile 50% yako na watachanganya na kile walichopata kwa Baba yao,bado watakuwa juu.Hii ndiyo inawaokoa watoto wa Mengi wale wakubwa.Wana share ya mama yao 50% kabla ya yote
tunashukuru kwa ushauri huu ni mzuri. Ila lets say ni nyumba sasa, inauzwa labda milioni 100 ili wagawane watoto wako wa ndoa wanne. Na wa kwake wa nje wanne. Wakwako watapata 12 million each. Wakajitafute hapo. Au wajenge kwa pamoja waendelee kuishi.

Na hapo ukute mama yuko hai. Kama na yeye alikufa hajatokea shangazi ana tamaa zake anataka na yeye cha kwake. Mungu atusaidie kwakweli.
 
Akina regina watawaachia ndugu zao. Kwani wao si watakua na shares kubwa kuwazidi? Kuna zao 25% jumlisha za mama yao hapo halaf bado za baba yao. That means wakina regina wanakua majority shareholders. Wataamua wawaachie kina nani shares zao. Kwa huu uhasama unadhani hawa watoto watakua salama despite the fact kwamba ni wadogo zao? Hii vita jacky aliyoitengeneza atajutiaga mpaka kaburini. Kiuhalisia, ukishanipeleka mahakamani we shall never ever sit under one roof... ngumu mno. Huu uhasama ukijumlisha na mazingira mengi aliyofariki heeee heeee yewomiiii...
Huu ndiyo ukweli wenyewe tena ulionyooka.Hawa watoto wanakuja kuteseka kwa ujuaji wa Mama yao.Kina Regina watamwachia yeyote wanaempenda.Ningekuwa mimi Jacky kwanza ningehakikisha hawa watoto wanalelewa na Dadana Kaka yao ili wajenge ile bond.

Unahangaika na dada yako ambae tayari kimaisha alishafuria na yeye anataka kuponea kwa hizo mali zisizomhusu huku ukijua kabisa wewe una watoto tayari na hiyo familia.
 
Ni hivi siku hizi inaruhusiwa kabisa hiyo nyumba ukiandika umiliki kwa majina yenu halisi inaeleweka.kuwa wamiliki ni Anna na James.Achana na mambo ya Mrs and Mrs James sijui unanielewa? Andika jina lako halisi na ubini wako wa asili na yeye hivyo hivyo na umiliki ujulikane ni 50% kwa kila mtu. Kwa swali lako ukiwa umeandika kama nilivyosema nyumba ikiuzwa kwa 100M kwanza wewe utapata 50M (ambayo itakuwa ya watoto wako) kisha 50M ya Baba ndiyo itagawanywa kwa watoto wote.

Hili limemsaidia sana Aunt yangu na nimeshuhudia mwenyewe mpendaamanitanzania
 
tunashukuru kwa ushauri huu ni mzuri. Ila lets say ni nyumba sasa, inauzwa labda milioni 100 ili wagawane watoto wako wa ndoa wanne. Na wa kwake wa nje wanne. Wakwako watapata 12 million each. Wakajitafute hapo. Au wajenge kwa pamoja waendelee kuishi. Na hapo ukute mama yuko hai. Kama na yeye alikufa hajatokea shangazi ana tamaa zake anataka na yeye cha kwake. Mungu atusaidie kwakweli.
Check post no 340
 
Back
Top Bottom