J. S. Malecela aukubali mchango wa vyama vya upinzani

Mpui Lyazumbi

JF-Expert Member
Sep 1, 2010
1,856
371
Waziri Mkuu msataafu leo kupitia tbc-habari saa 2 uck, amekiri kuwa mchango wa vyama vya siasa vya upinzani umekuwa wa muhimu sana kwa ustawi wa taifa. Sambamba na hilo amekiasa ccm kwenda na wakati ili kukabiliana na nguvu za vyama pinzani. amehofu ccm isionekane kuwa haina sera mpya wakati huu na hatimaye kupoteza umaarufu mbele ya wananchi.
 
Mzee nae huyu hakubali kuwa kachoka!...ndugu zake wamshauri apumzike nyumbani...mbona bado mgonjwa sana huyu?
 
watu wa umri wake katika nchi zilizoendelea wanakula pensheni zao...Kubali ya upinzani watakubali tuu hata wakiwaita na babu zao waliozidi kwa ubishi hapa hali imekuwa ngumu kwao wote...Pipoooooooooooooozzz.:canada:
 
Muulizeni W.J Malecela @N.Y C kama kweli ndoto za babake zimekwisha. Mkitaka kujua kama kazeeka au la muulizeni Annie Kilango
 
Waziri Mkuu msataafu leo kupitia tbc-habari saa 2 uck, amekiri kuwa mchango wa vyama vya siasa vya upinzani umekuwa wa muhimu sana kwa ustawi wa taifa. Sambamba na hilo amekiasa ccm kwenda na wakati ili kukabiliana na nguvu za vyama pinzani. amehofu ccm isionekane kuwa haina sera mpya wakati huu na hatimaye kupoteza umaarufu mbele ya wananchi.


Naunga mkono hoja!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
kachoka kweli mzee wa watu...daaah suti inampwaya sijui hawakumpima vizuri
 
hebu akacheze na wajukuu nae UNAFIKI tu kayaona hayo baada ya kuwa bunge analionea kideoni.
 
Mimi naendelea ku-note down hii list: S.A.SALIM, WARIOBA SINDE, MZEE KINGUNGE (kwa kugoma kutoa neno la shukrani na mchango wake wakati wa kumbukumbu ya Mwl. Nyerere) na leo hii tena ni Mzee Malecela! Mmmh naogopa maana majembe ya CCM yanazidi kung'oka mipini na aidha kuwa neutral au kusapoti CHADEMA. Sijui itakuaje baada ya mtukano sorry mkutano
 
Waziri Mkuu msataafu leo kupitia tbc-habari saa 2 uck, amekiri kuwa mchango wa vyama vya siasa vya upinzani umekuwa wa muhimu sana kwa ustawi wa taifa. Sambamba na hilo amekiasa ccm kwenda na wakati ili kukabiliana na nguvu za vyama pinzani. amehofu ccm isionekane kuwa haina sera mpya wakati huu na hatimaye kupoteza umaarufu mbele ya wananchi.


poa mkuu,wahenga wanasema "you cant teach an old dog,new technics of hunting" hawa wazee wetu time imewapita now wanahaha, but they had time in their leadership walifanya nini?
 
poa mkuu,wahenga wanasema "you cant teach an old dog,new technics of hunting" hawa wazee wetu time imewapita now wanahaha, but they had time in their leadership walifanya nini?

Tupokee ushauri kama somo kwa wengine.
 
Back
Top Bottom