Kwanini baba? Hili neno baba limekaa kikanisa kanisa. Mimi siliafiki hata kidogo. Ubaba wa Taifa ndio nini? Hatuna haja ya baba wa Taifa. Tanzania haikuasisiwa na Nyerere pekee ni makubaliano ya watu wawili Nyerere na Karume sasa inakuwaje baba awe Nyerere na Karume awe nani?
Tatizo ni 'kikanisa kanisa' au!? Acha udini wewe binti,halafu inawezekana haujui vizuri kwanin Nyerere anaitwa Baba wa taifa ndio maana unamchanganya na karume!