Ivory Coast Vs Tanzania

Na hiyo ndo timu ya Taifa tuliyonayo, vyovyote itakavyokuwa hiyo ndo Taifa Star na bendera waliyopewa kwenda nayo ni ya Taifa, jezi zao zina nembo ya TFF na rangi za bendera ya Taifa, mimi mwenyewe nimepiga uzi wa Taifa star hapa nilipo nasubiri kuangalia vijana wa Kim Poulsen kuona watakavyopeperusha bendera ya Taifa, Kila la heri Taifa star: kwa kumbukumbu kikosi kinaweza kuwa: Juma Kaseja, Shomari Kapombe, Amir Maftah, Aggrey Morris, Shaban Nditi, Sure boy, Mwinyi Kazimoto, Frank Domayo, Mrisho Ngasa na Mbwana Samatta.

Kijana ni mtabiri mzuri nimekupenda
 
Back
Top Bottom