Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,808
- 59,358
wanatoka moshi - msinilaumu moshi kuna makabila mengi
Hovyoooo....
wanatoka moshi - msinilaumu moshi kuna makabila mengi
<br /><br /><br />
<br /><br />
Wakwere
Wasichana wao mshipa wa aibu ulishakatika...... Kiasi kwamaba hata kama mna Kiss(denda)... Binti anatoa mimacho tu ka balbu...yaani hata aibu ya kuzuga kwao ni zero!! msaada tafadhali... nipo kwenye utafiti.
Bwahabwaha kufumba machoUlijuaje? Au ulimuona wewe ukiwa umefumba?
head oficeHivi kabila gani laongoza kwa kuleta threads zilizokufa kama hizi?
why did i have the feeling that we would get here when i first viewed this thread ?wanatoka moshi - msinilaumu moshi kuna makabila mengi
ni kabila la Wakinga e.g mleta mada hahaha!Hivi kabila gani laongoza kwa kuleta threads zilizokufa kama hizi?
Umenifurahisha sana dadangu, yani umegusa penyewe. Kwa kaexperience kadogo na kautafiti nilikofanya, wanaume wengi wa TZ hawajui kukiss. Hapa nazungumzia any kiss. French kiss , ya shavuni, paji la uso nk. Yani ni kazi kwelikweli.Wanaume nao wanajifanya wanajua kukiss huku wengine wakikisi liulimi analitoa lote nje kama nyoka looooo
msiseme wasichana tu,wanaume nao wana vioja kaa nini, mtu kalikakamaza utafikiri anatak kukata roho
<br />wasichana wengi wa uswazi hawajui kuwa kukiss unatakiwa ufumbe macho...<br />
unatukana wengi aisee...
Naomba nikwambie kufumba macho wakati wa kukiss si dalili ya aibu bali ni natural phenomenon inayotoke bila ku-decide nifumbe au nisifumbe macho. If u feel the kiss automatically utafumba macho. Huyo anayetoa mimacho hajui maana ya kissWasichana wao mshipa wa aibu ulishakatika...... Kiasi kwamaba hata kama mna Kiss(denda)... Binti anatoa mimacho tu ka balbu...yaani hata aibu ya kuzuga kwao ni zero!! msaada tafadhali... nipo kwenye utafiti.
<br />Nimerudi na jibu...kabila ulilotoka wewe.Na sio wadada tu hata wakaka...JIREKEBISHENI!!