ivi kuna ukweli hapa?

obsesd

JF-Expert Member
Nov 23, 2011
1,225
525
Inasemekana wanaume walisoma masomo ya kujieleza na hawa waliosoma masomo magumu magumu kama engineering n.k.. Huwa wana urgue tofauti na pia hata katika ku-solve matatizo wana tofautiana.

Nauliza sababu kuna shosty wangu alikuwa na boyfriend wake engineer sasa wamemwagana, sasa kapata mngwini ndio ananiambia kua wana tofautiana kabisa. Anajuta anamkumbuka Mpennzi wake wa awali.

Je hii ina apply pia na kwa ladiez or? naomba kuuliza ili jaman.
 
hivi kuna masomo magumu na marahisi?siyo kujiendekeza tu?reasoning huwa haiangalii umesoma nini,but human being tuko na utofauti atii
 
hakuna masomo magumu wala marahisi.wapo vilaza na wali-opt engineering na wameweza na wapo waliokua vichwa (o' level and A' level) na wame-opt ungwini na wameambulia pass
 
Inasemekana wanaume walisoma masomo ya kujieleza na hawa waliosoma masomo magumu magumu kama engineering n.k.. Huwa wana urgue tofauti na pia hata katika ku-solve matatizo wana tofautiana.

Nauliza sababu kuna shosty wangu alikuwa na boyfriend wake engineer sasa wamemwagana, sasa kapata mngwini ndio ananiambia kua wana tofautiana kabisa. Anajuta anamkumbuka Mpennzi wake wa awali.

Je hii ina apply pia na kwa ladiez or? naomba kuuliza ili jaman.

Kwa kweli hakuna mahusiano kati ya tabia au hulka ya mtu na masomo atayochukua chuoni...kama mtu ni mtata ni mtata tu hata akisoma udaktari au uhasibu au masomo mengine yoyote....na kama mtu anajua kuimbisha kwenye mapenz ndo yuko hivyo..na kama hajui hajui tu,labda kama atabadilishwa na marafiki ambao atakutana nao lakini sio masomo..
 
ebwana tofauti ipo...hawa wa ngwini bwana nawakuwa waongeaji sana lafu sasa katika ile mechi yetu ya sita kwa sita unakuta wao ndio screamers wakati hawa scientists bana wanakuwa wanatafakari wee jambo la hisia wao wanataka leta calculus pale na inaharibu mood nzima
 
hakuna ukweli wowote na hii hoja yako
hizo ni hulka za mtu na sio masomo aliyosomea.
ebwana tofauti ipo...hawa wa ngwini bwana nawakuwa waongeaji sana lafu sasa katika ile mechi yetu ya sita kwa sita unakuta wao ndio screamers wakati hawa scientists bana wanakuwa wanatafakari wee jambo la hisia wao wanataka leta calculus pale na inaharibu mood nzima
 
Not sure kama kuna connection kati ya Mapenzi na elimu, ngoja nitafakari nitakujibu baadaye!
 
ebwana tofauti ipo...hawa wa ngwini bwana nawakuwa waongeaji sana lafu sasa katika ile mechi yetu ya sita kwa sita unakuta wao ndio screamers wakati hawa scientists bana wanakuwa wanatafakari wee jambo la hisia wao wanataka leta calculus pale na inaharibu mood nzima
hahaha mwe.
 
I think wa Engineer less understand the woman than the other...
lakini sasa huyu mtoa maada anaonyesha kuwa huyo wa engineer ndo anaye kumbukwa.
ni vigumu kuhusisha fani ya mtu na tabia tabia/haiba yake. kuwa na engineer ukamwacha halafu kwenda kwa asiye engineer na kuhitimisha kuwa kuna tofauti ya tabia inayotokana na fani au aina ya taaluma zao si sawa. labda ningemshauri huyu mtu atembee na mainjinia kama sita hivi, kisha ahamie kwa hao wengine nao wawe ktk mafungu ya sita tista hivi. halafu atengeneze matokeo yake yakiwa na ushawishi wa kitakwimu. hapo aah nitakubali hiyo hypothesis yake
 
msidanganyane humu

masomo anayochukua mtu yana reflect tabia zake
na kazi anayofanya mtu inamuathiri tabia zake
na hata kampuni au ofisi anayofanya mtu inamuathiri saana tabia zake....

ma enginerr wengi hawapendi ubishani
kwa sababu wamefundishwa 'ku solve tatizo na kufikia muafaka'
wakati wanasheria wanapenda kubishana kwa sababu wamefundishwa 'kushinda' argument na 'kumnyamazisha'
mwenzio kwa hoja...
get it??
 
Hakuna uhusiano baina ya masomo ya arts au sayansi na mambo ya mapenzi, hizo ni tabia za binadamu kutegemeana na malezi aliyolelewa na aina ya marafiki zake. Viipi kuhusu wale walioshia form IV au VI ambao hawakufikia huo uinginia au ungwini?
 
msidanganyane humu

masomo anayochukua mtu yana reflect tabia zake
na kazi anayofanya mtu inamuathiri tabia zake
na hata kampuni au ofisi anayofanya mtu inamuathiri saana tabia zake....

ma enginerr wengi hawapendi ubishani
kwa sababu wamefundishwa 'ku solve tatizo na kufikia muafaka'
wakati wanasheria wanapenda kubishana kwa sababu wamefundishwa 'kushinda' argument na 'kumnyamazisha'
mwenzio kwa hoja...
get it??

Vipi kuhusu wale ambao hawakupata nafasi ya kuufikia uinginia au uanasheria, waanadhiriwa na nini? Consider form Iv or VI leavers kwa Tanzania, halafu mambo yakamchanganyia hata shule asindelee nayo tena.
 
Vipi kuhusu wale ambao hawakupata nafasi ya kuufikia uinginia au uanasheria, waanadhiriwa na nini? Consider form Iv or VI leavers kwa Tanzania, halafu mambo yakamchanganyia hata shule asindelee nayo tena.

itategemeana na kazi unayofanya
why do u think walimu wanaonekana ni 'better wives'?????
jiulize hilo....
 
msidanganyane humu

masomo anayochukua mtu yana reflect tabia zake
na kazi anayofanya mtu inamuathiri tabia zake
na hata kampuni au ofisi anayofanya mtu inamuathiri saana tabia zake....

ma enginerr wengi hawapendi ubishani
kwa sababu wamefundishwa 'ku solve tatizo na kufikia muafaka'
wakati wanasheria wanapenda kubishana kwa sababu wamefundishwa 'kushinda' argument na 'kumnyamazisha'
mwenzio kwa hoja...
get it??

asante mkuu.
 
Back
Top Bottom