Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,227
- 113,583
Na sisi ambao tumeishia form four je?
Na sisi ambao tumeishia form four je?
inategemeana na kazi yako unayofanya
Nabeba maboksi.
watu unaokutana nao kila siku katika shughuli zako
wana 'athiri' tabia zako.....
hapo hakuna ukweli ma' dear
Nabeba maboksi.
Wabeba box hawana authority, wamezoea kuagizwa kwahiyo hivyo hivyo ndivyo walivyo kwenye mahusiano.Ila uzuri wao wanazingatia muda na sheria za mchezo!
Unaweza kuniambia (kwa kuona michango yangu tu hapa JF) kuwa nimeathirikaje?
kwa michango yako hapa unaonekana huwezi kum trust mtu kwenye uhusiano
unaamini cheating is inevitable...na kila mtu ana cheat....
na unaamini watu wengi wana sura mbili.....hawako the way wanavyotaka watu waamini....
Teh teh teh....Boss bana.
Kusema ukweli niko very practical na realistic. Mambo ya false hopes sina kabisa.
Halafu hivi cheating inahusisha nini? Penetrative sex peke yake au hata flirting kwenye emails, PM, Facebook, forums, etc.?
Hahahaha, usijali PM hazipungui wala nini.Heheheheee Lizzy bana. Yaani umetuua kabisa wabeba maboksi.
Halafu ngoja nikuulize....hivi kwa mfano, kulingana na michango yangu hapa JF, ningekuwa nami nimebahatika kusoma hadi chuo kikuu na kupata lidigrii, unadhani nidngekuwa nimesomea fani gani?
I owe you a LIKE.cheating hata 'emotional cheating' ni cheating so zote hizo...
but believe me.wapo watu hawa cheat kabisa....very rare but wapo...