Rich Dad
JF-Expert Member
- Dec 15, 2010
- 748
- 133
Wanaharakati wote watakubaliana na mimi kwamba haki mbalimbali zinavunjwa kila siku kupitia usafiri wetu wa public, hasa ndani ya jiji za dar es salaam.
Haki za watoto ( hasa wanafunzi), wakina mama wanadhalilishwa kila siku kutokana na misongamano ndani ya daladala zetu. Watu wanabanana mpaka wanashindwa kupumua.
Mbali na hilo, inapotokea ajali watu wengi wanaachwa eidha majeruhi au wanapoteza maisha kabisa.
Kwa upande mwingine, ni sifa mbaya kwa taifa letu hasa ukizingatia ya kwamba ncho za wenzetu wamesha implement decent public transportation system ambao unapendwa na kutumiwa na watu wa kada mbalimbali. Lakini kwetu Tanzania looh ukianzia na upandaji wa gari ni aibu...watu wanakimbilia kama ng'ombe.
Nawashauri wabunge waiulize serikali ni lini itapitisha pamoja na kuisimamia sheria ya kuwaadhibu abiria wanaosimama ndani ya daladala.
Hatuwezi kuendelea kukaa kimya huku watu wakiteseka na usafiri wa public wao wakifurahia kufunga baadhi ya barabara pale wanapopita na VX zao.
Vile vile sheria hii itailazimisha serikali kufanya haraka kuimarisha njia mbadala za usafiri wa mass. Mfano reli za masafa mafupi ndani ya majiji, mradi wa mabasi yaendayo kasi, upanuzi wa barabara zetu, ferry kutoka Tegeta mpaka city centre.
Nawasilisha wadau!!!
Haki za watoto ( hasa wanafunzi), wakina mama wanadhalilishwa kila siku kutokana na misongamano ndani ya daladala zetu. Watu wanabanana mpaka wanashindwa kupumua.
Mbali na hilo, inapotokea ajali watu wengi wanaachwa eidha majeruhi au wanapoteza maisha kabisa.
Kwa upande mwingine, ni sifa mbaya kwa taifa letu hasa ukizingatia ya kwamba ncho za wenzetu wamesha implement decent public transportation system ambao unapendwa na kutumiwa na watu wa kada mbalimbali. Lakini kwetu Tanzania looh ukianzia na upandaji wa gari ni aibu...watu wanakimbilia kama ng'ombe.
Nawashauri wabunge waiulize serikali ni lini itapitisha pamoja na kuisimamia sheria ya kuwaadhibu abiria wanaosimama ndani ya daladala.
Hatuwezi kuendelea kukaa kimya huku watu wakiteseka na usafiri wa public wao wakifurahia kufunga baadhi ya barabara pale wanapopita na VX zao.
Vile vile sheria hii itailazimisha serikali kufanya haraka kuimarisha njia mbadala za usafiri wa mass. Mfano reli za masafa mafupi ndani ya majiji, mradi wa mabasi yaendayo kasi, upanuzi wa barabara zetu, ferry kutoka Tegeta mpaka city centre.
Nawasilisha wadau!!!