ITV yaomba radhi kwa kumhoji msimamizi wa uchaguzi

Shida inayowakumba vijana wengi ni kuongozwa na hisia zaidi kuliko uhalisia na taratibu, katika kanuni na taratibu za uchaguzi msimamizi harusiwi kuhojia na chombo chochote kwa sababu kuu zifuatazo, moja kuhojiwa kwake kunaweza kumtoa kwenye concentration akashindwa kuwa makini na lolote linaweza kutokea, fikiria angekuwa mwandishi wa TBC akafanya hivyo implication ingekuwaje?
Pili huwezi jua baada ya msimamizi kuhojiwa nini kilitokea yawezekana adui alitumia mwanya huo kufanya yake hasa kurudisha sanduku la box.
Nilijua unaweka vifungu vya katiba halafu unaandika "fikiria"
 
Tz hatuna Television Stations zenye uweredi..hata hiyo ITV ni hewa tu....
Bora hao Clouds na ETv...ni kupiga mziki tu hamna kingine
 
Muda wa kubembelezana ulishapita mkitaka kubembelezwa tena subirini jemedari mkuu amalize muda wake.
 
kwani BBC hawakuepo mana ndicho chombo kilichobakia ila uzuri teknolojia ishakuwa na inaendelea kukua soon hata huko kijijini mitandao itafika vyombo vya habari vitabaki kuisifia serikal ila mitandao itaonesha uovo wote...
hide my ID plz nimeoa juzi....
 
Hiyo habari ambayo ni very SENSITIVE kwa muda huu na inahitaji UTHIBITISHO na inaweza kuleta TAHARUKI na au hata MAUAJI pia.

Mods wana haki ya kujiridhisha na habari kama hiyo.
Unapotoa comment hebu tafakari mara mbili, uthibitisho ni wa nn sasa wakati matangazo yalikua live na kilichokua kikiendelea kilionekana?
 
Yaani Siku Hizi Kuliko Upoteze Muda Kuangalia ITV Ni Heri Ucheze Game La Nyoka, Eti ITV Imeiomba Msamaha Serikali Kwa Kuripoti Kuibiwa Kwa Box La Kura Kinondoni !! PUMBAVU KABISAA

Seriously?

mr mkiki
mda huo nakuwa nakunywa balimi napo hona taarifa ya habari usiku
 
Fuata kanuni za JF si kuwalaamu tu Mods.Sio kila kitu ambacho unakifikiria tu basi unakiandika kwa utashi wako bila kukumbuka JF nayo ina kanuni zake.

Hata ukienda samahani 'chooni' nako kuna kanuni zake toka unaingia mpaka unapotoka.
We si ni sehemu ya maafande? lazima tutegemee hiki ulichokiandika.
 
Jf imeingiliwa, si Jf tuliyokuwa tunajivunia kuwa tuna chombo huru ambacho tunaweza kufunguka kwa uhuru bila wasi wasi. sasa hivi Jf haina tofauti na viblogs uchwara.
 
Nilikuwa nimenunua T-shirt za jamii forum ila leo nachana zote!!....Kwa nini jamii forum mnafuta kwa kasi ya mwanga thread zote zinazohusu uchaguzi wa leo???
Ulinunua T-shirt za jf ili ukavalie wapi? chooni? hivi ujui kama jf inachukuliwa kama chombo cha kichochezi?
 
Back
Top Bottom