Mhhhh huo ukweli unauma na kuuvumilia ni ngumu sana
Kuna kuwa honest ila hapo ni too much mkuu kuubeba
huyo ndio waukweli sasa...kakwambia ukweli akijua kuwa yeye yayari kashaweka matatani uwezo wake wakuzaa hivyo wewe umepewa hint kwamba bwana mie hapa kama unategemea mtoto ujuwe kuwa wacheza bajati na sibu. sasa huoni kuwa kafanya jema hapo?? je angeficha hilo alafu baadae baada ya kuhangaika kupata mtoto bila mafanikio ugundue kula alikuwa anatoaga mimba sii unhgemlaumu.
Sijaona cha ajabu hapo zaidi ya masikitiko tu!! Mpaka umefikia hatua ya kumuweka kikaangoni na kumjaji, basi ujue mapenzi kwake yameshaisha hivyo ni bora ukamuacha kwa amani tu!! Lakini fikiria na wewe umetoka na girls wangapi kabla yake? Na katika issues zako zote ingekuwa we ndo mbeba mimba, ungeshatoa ngapi? Msipende kujudge ni bora atleast ukajua mustakabari mzima ulompelekea yeye kufanya aloyafanya then unaamua!!
Napenda kujua historia ya mtu katika relations kabla ya ku-stick nae.
Lakini hii niliyo pewa ime nivunja moyo na sidhani kama hua namaanisha
pale ninaposema napenda ukweli,...the truth hurts,....now i believe.
Eti,...
Napenda ukweli,lakini huu siwezi kuubeba,....je najisaliti mwenyewe au niko sahihi?
apo mnamuhukumu kwa kutoa VIUMBE VITATU au kwa kuwa HONEST?
lip ni lip?
nini jema lip baya?
Kushindwa kuu-face ukweli ni kujisaliti mwenyewe! I wish watu wangekua wakweli hivi. Muhimu ni kuuelewa kwa nini ilitokea hivi. Niliwahi kugongana na mdada ana condition siikumbuki jina, she is fertile everyday! Unlucky for her ana allergy na latex. So bahati mbaya inakua mbaya kweli.
Umeshawahi kuona cases za watu wanasaka mtoto, wanaenda kwa dr mdada anaambiwa hana kizazi, kaka anashangaa tu? Ukweli shld never be replaced with anything! I wish partner wako akimuangalia mtu kwa matamanio first time akuambie ili kama kuna uwezalo kufanya kumuoakoa ufanye. Well,I guess I'm that bold!
It's too hard,nadhani inabidi nianze kujiondoa taratiibu.
nisimuumize asiniumize
Dada yangu hauwi realistic naona.
tatizo sio kapitia nini,...ila tatizo ni kuukubali ukweli na
kuwa tayari kwenda nao.........
Aiseee...
Ina maana huyo dada hakujifunza baada ya mara ya kwanza wala ya pili??
Newayz kama unampenda unaweza pishia mbali hilo la kuchoropoa muendelee. Ila sasa ndo uwe tayari kulea akipata mimba yako usikute unamhukumu kumbe na wewe ndio wale wale wanaolipia kwenda kutoa.