The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,072
Weeee mgumu kama bodi ya DCM linaloenda Mbagala en-route to Gongo la mbotoKhaaaa. . . hivi na mie.nimekua na mindset ya ajabu siku hizi maana hua najipa ka dozi ya malaria.
Weeee mgumu kama bodi ya DCM linaloenda Mbagala en-route to Gongo la mbotoKhaaaa. . . hivi na mie.nimekua na mindset ya ajabu siku hizi maana hua najipa ka dozi ya malaria.
utoto tu, akikua ataacha where is the female power and pride, if the first thing that comes out of your sorry a$$ is kupewa/kupelekwa/kupatiwa/kuwekewa/kufanzwa/kunanihiwa?? pia huo ni UDANANDA!!! aisee, sometimes wanakua hivi"Wanshangaza" Cousin i suspect getruda is dating a white dude....halafu wadada wakiishatembelea uturn wakitoka huko wanakuwa na mindset za ajabu kweli sijui yule dada huwa anawalisha nini aisee...
Khaaa, mie nilidhani wampeleka France?..Tukitoka na Lizzy kuona panya pori, vicheche, nguchiro, digidigi na Sungura kule porini nakuja kupitia biya yangu
utoto tu, akikua ataacha where is the female power and pride, if the first thing that comes out of your sorry a$$ is kupewa/kupelekwa/kupatiwa/kuwekewa/kufanzwa/kunanihiwa?? pia huo ni UDANANDA!!! aisee, sometimes wanakua hivi View attachment 42509
Ngoja nianze kumuepuka asee, mwambie biya yake utamchukulia wewe, asije tena..lolEhehhehe ndo umejua sasa.
nini vacation wewe?come to me and i will show you the world.
Tobaaaa...France tena?.....Lizzy ana allergy na wazungu akiona wazungu tu anaumwa ghafla kwahiyo vacation zetu tunachezea kwenye mbuga za wanyamaKhaaa, mie nilidhani wampeleka France?..
Tatizo wanajifanya macelebrities, kisa wameolewa na wazungu.......
Weeee mgumu kama bodi ya DCM linaloenda Mbagala en-route to Gongo la mboto
Hapo sasa...Invalid link!!!
Tunasikitisha?
Eti tunataka haki wakati bado tunategemea kila kitu toka kwa mwanaume.
Tatizo wanajifanya macelebrities, kisa wameolewa na wazungu.......
mama usidandie treni kwa mbele.... angalia post ipi inajibiwa and why.................. nimeuliza female power iko wapi endapo dada yetu getrude anaanza na kuitafuta spain wakati hata murugwanza kwenda kuuguza mama hana mpangoInvalid link!!!
Tunasikitisha?
Eti tunataka haki wakati bado tunategemea kila kitu toka kwa mwanaume.
Ndo mana kuna siku hapa niliuliza high class/high social status/ celebrity definition zake na classes zake.
Yaani kuvaa kiatu cha Steve Maden tu kosa, nshakuwa celebrity, au am dating 2*+=5#62* tayari celebrity au high class.
Confussion tupu!
shem........... dadako kasoma hii sredi wacha acheke aiseAisee, inabidi nisake bwana mzungu b4 krismas. Mwaka huu spain lazma niende!
Ngoja nianze kumuepuka asee, mwambie biya yake utamchukulia wewe, asije tena..lol
"Wanshangaza"
Cousin i suspect getruda is dating a white dude....halafu wadada wakiishatembelea uturn wakitoka huko wanakuwa na mindset za ajabu kweli sijui yule dada huwa anawalisha nini aisee...
Nitakupeleka Q Bar wapo bwerere aisee utachagua kama vile chagulaga....:eyebrows:Aisee, inabidi nisake bwana mzungu b4 krismas. Mwaka huu spain lazma niende!
Lol... Si useme tu cash hairuhusu?...Tobaaaa...France tena?.....Lizzy ana allergy na wazungu akiona wazungu tu anaumwa ghafla kwahiyo vacation zetu tunachezea kwenye mbuga za wanyama