Jestina
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 4,831
- 1,707
- Thread starter
- #261
Tatizo la wanawake wengi wa kibongo wamekrem kua wanaume ndo watoaji tu. wenyewe hawatoi yani cha wanaume chao cha kwao ni chakwao peke yao.wanawake acheni maisha ya kukrem na nyie onyesheni upendo kwa wame zenu kwa kuwatoa pia.
kumbe wako wengi??? mbona wamejifanya kuruka humu au wanafiki?kuna thread humu ya 50:50 financial rensponsibilities kutowezekana,wanaume watabaki kuwa providers.....poleni but am being honest here!