The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,082
Dada...hili neno aiseeeoaoa.....ngoja niipitie hiyo Proverb 31 nione inasemajeWanaume poleni sana, ndyo umeangukia kwa mwanamke kama huyu si balaa! Mimi wangu vacation yetu ni kitandani na kuhakikisha tunakula na kushiba hata kama siyo balanced diet.
To heaven with ufaransa na alilke. Getrude unashika biblia mara ngapi kwa siku? I advice you to read Proverb 31.