It was either akubaliane na CHADEMA, apiganie Uenyekiti, akutane na VOTE OF NO CONFIDENCE

Chief Isike

JF-Expert Member
Jan 17, 2010
445
462
Wakuu we need to c beyond our nose. Mtambue kuwa JK alipoamua kujilipua na kubeba ajenda ya katiba mpya (baada ya ushauri bila shaka), wapo wahafidhina ndani ya serikali ya CCM na katika chama walinung'unika wakisema si ya kwao. Hawataki. Imesukumwa hivyo hivyo kimagumashi imefika hapo tulipo, tukishuhudia mchalato wa sheria muhimu na nyeti kabisa ikikwepa USHIRIKI WA WANANCHI KWA MAKUSUDI TU YA KULINDA CHAMA FULANI NA UBABE WA WATAWALA (si viongozi, maana hawa husikiliza matakwa ya wanaowaongoza).

Ok akakubali kukutana na chama kikuu cha upinzani, CHADEMA, wapo wahafidhina serikalini na ndani ya CCM walioona kuwa hiyo ni kuipatia credit CHADEMA, wao hawaangalii hoja za mtu/watu, wanangalia mtoa hoja basi. Walikuwa hawataki mkutano, ndiyo maana wakasema basi na vyama vingine viwepo. Hawataki kutambua kuwa yanayosemwa na CHADEMA ndiyo hayo hayo yamesemwa na Majaji Wastaafu (kupitia chama chao), TLS, wanaharakati, baadhi ya wabunge wa CCM (katika off records), viongozi wa dini, wanazuoni (kama UDASA) na wadau wengine kibao.

Sasa Rais Kikwete kakutana na CHADEMA amepokea mapendekezo, mojawapo asitie saini kwanza muswada, si ndiyo. Lakini katia saini jana...sasa wakuu hivi kweli tuliangalie hili kwa mapana;

Rais, ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM, anakutana na CHADEMA, anakubaliana na mapendekezo yote on the spot ikiwemo kutotia saini muswada, ili urudi bungeni (na ukumbuke alishasema hadharani kuwa muswada huo atautia saini haraka iwezekanavyo ili uanze kufanya kazi). Akishakubaliana na CHADEMA, Kikwete alikuwa ajiandae kukutana na yafuatayo

1. Awe tayari kuungana na umma, kumsapoti katika hili (kitu ambacho ameshindwa mara nyingi tangu umma ulipozinduka kupambana na kupinga ufisadi na mafisadi.

2. Awe tayari kukabiliana na wenzake ndani ya CCM ambao wangetumia nafasi hiyo au sababu hiyo katika vita iliyomo ndani ya chama hicho, kumwondoa katika uenyekiti

3. Hii ni ndiyo ambayo ingelikuwa kali zaidi, ajiandae kukubaliana na wabunge wa CCM na CUF, ambao wangeamua kupinga kurudishwa kwa muswada huo na hivyo hata kuamua kupiga VOTE OF NO CONFIDENCE. La sivyo angelivunja na turudi kwenye uchaguzi mkuu mwingine.

Je Rais Kikwete ana uwezo wa kusimama na kudhibiti hayo mambo. Kusimama kidete. Angelikuwa Rais makini na mwenye ushawishi, msmamo na dikteta kwa maslahi ya umma, forget about partisanship, llet's say Mwalimu Nyerere hivi, asingesaini hii sheria na bado angesimama na umma, kujenga hoja zenye mantiki, hakuna mtu CCM angesimama dhidi yake wala ndani ya bunge hakuna mtu angehoji, maana angechungulia nje na kukuta maandamano ya kumuunga mkono Rais yamepamba moto vibaya mno.

Sasa JK kaangalia hawezi kupambania Uenyekiti wake, wala ku-face Vote of no Confidence, wala kuvunja bunge na kurudi kwenye uchaguzi. Amelinda kitumbua chake, amelinda chama chake, akawaacha Watanzania waliowekeza matumaini yao kwake kupitia CHADEMA. Nani kawaangusha Watanzania KWA SASA, WAKISUBIRI MATUMAINI YA KUREKEBISHWA SHERIA HIYO, ni CHADEMA au Rais Kikwete? Kwangu mimi ni Rais.

Ameogopa kuonekana ameshawishiwa na CHADEMA, ndiyo maana wakaamua kukubaliana kuwa consultations more should be done to other stakeholders, ili isionekane issue ni ya CHADEMA pekee. Lakini stake holders karibu wote hoja ni zile zile za CHADEMA. Wakuu tufikirieni na kutafakuri vyema. CHADEMA on our behalf have tried to stop the president not to sign..., so what do u guys suggest, the next move, semeni, kusubiri mabadiliko ya sheria au kuingia barabarani...semeni si kulalamika...aaagh.
 
Sasa JK kaangalia hawezi kupambania Uenyekiti wake, wala ku-face Vote of no Confidence, wala kuvunja bunge na kurudi kwenye uchaguzi. Amelinda kitumbua chake, amelinda chama chake, akawaacha Watanzania waliowekeza matumaini yao kwake kupitia CHADEMA. Nani kawaangusha Watanzania KWA SASA, WAKISUBIRI MATUMAINI YA KUREKEBISHWA SHERIA HIYO, ni CHADEMA au Rais Kikwete? Kwangu mimi ni Rais.

Ameogopa kuonekana ameshawishiwa na CHADEMA, ndiyo maana wakaamua kukubaliana kuwa consultations more should be done to other stakeholders, ili isionekane issue ni ya CHADEMA pekee. Lakini stake holders karibu wote hoja ni zile zile za CHADEMA. Wakuu tufikirieni na kutafakuri vyema. CHADEMA on our behalf have tried to stop the president not to sign..., so what do u guys suggest, the next move, semeni, kusubiri mabadiliko ya sheria au kuingia barabarani...semeni si kulalamika...aaagh.

ni meipenda hoja ya kulinda kitumbua chake ingawaje sidhani ya kuwa JK ana nia ya kuona nchii hii inapata katiba ya kweli kwa sababu akifanbya hivyo.............that is the end of ccm as we know it...........................ccm wanajua wananchi hatuwataki kwa hiyo hawawezi kushiriki katika kujichimbia kaburi lao wenyewe................au hata kujitumbukiza kwenye jeneza walilolichonga wao wenyewe.........................................................tatizo na kigugumizi chao ndipo kilipo hapo.................
 
CCM na mambo ya tumbo hata Tanzania inakuwa nyuma ndiyo JK na uzalendo wa mdomoni bila ya matendo .
 
ni meipenda hoja ya kulinda kitumbua chake ingawaje sidhani ya kuwa JK ana nia ya kuona nchii hii inapata katiba ya kweli kwa sababu akifanbya hivyo.............that is the end of ccm as we know it...........................ccm wanajua wananchi hatuwataki kwa hiyo hawawezi kushiriki katika kujichimbia kaburi lao wenyewe................au hata kujitumbukiza kwenye jeneza walilolichonga wao wenyewe.........................................................tatizo na kigugumizi chao ndipo kilipo hapo.................
Uroho wa viongozi wa serikali hii umepitiliza hata kwenye mambo ya kitaifa bado wanayafanyia mzaha,kweli kiongozi gani anayeweka pamba masikioni asisikie ushauri wa mtu yeyeto kasoro wanachama wa chama chake,haya sisi yetu macho tutaona mwisho wake
 
Mkuu mtoa hoja uliyosema ni sahihi kabisa. Na unajua CDM wamefanya vyema kukwepa propaganda za fujo zinazotolewa kila kukicha na CCM. Hapakuwa na namna JK ilikuwa lazima asaini huo mswada, sasa kama makubaliano ya kuboreshwa yamefanywa kwa nia njema tutegemee mswada wa marekebisha ya sheria hiyo mwezi Januari.

Kama kweli JK ni mkweli simetegemei ateue hiyo tume mpaka marekebisho yafanyike.

Mimi napendekeza kuwa kama JK atateua tume kabla ya kutekeleza makubaliano, basi dawa ni barabarani, kama hatateue tume, napendekeza tuvute subira mpaka hiyo January tuone hayo mabadiliko yamekaa vipi, yanakubalika?
 
Wakuu we need to c beyond our nose. Mtambue kuwa JK alipoamua kujilipua na kubeba ajenda ya katiba mpya (baada ya ushauri bila shaka), wapo wahafidhina ndani ya serikali ya CCM na katika chama walinung'unika wakisema si ya kwao. Hawataki. Imesukumwa hivyo hivyo kimagumashi imefika hapo tulipo, tukishuhudia mchalato wa sheria muhimu na nyeti kabisa ikikwepa USHIRIKI WA WANANCHI KWA MAKUSUDI TU YA KULINDA CHAMA FULANI NA UBABE WA WATAWALA (si viongozi, maana hawa husikiliza matakwa ya wanaowaongoza).

Ok akakubali kukutana na chama kikuu cha upinzani, CHADEMA, wapo wahafidhina serikalini na ndani ya CCM walioona kuwa hiyo ni kuipatia credit CHADEMA, wao hawaangalii hoja za mtu/watu, wanangalia mtoa hoja basi. Walikuwa hawataki mkutano, ndiyo maana wakasema basi na vyama vingine viwepo. Hawataki kutambua kuwa yanayosemwa na CHADEMA ndiyo hayo hayo yamesemwa na Majaji Wastaafu (kupitia chama chao), TLS, wanaharakati, baadhi ya wabunge wa CCM (katika off records), viongozi wa dini, wanazuoni (kama UDASA) na wadau wengine kibao.

Sasa Rais Kikwete kakutana na CHADEMA amepokea mapendekezo, mojawapo asitie saini kwanza muswada, si ndiyo. Lakini katia saini jana...sasa wakuu hivi kweli tuliangalie hili kwa mapana;

Rais, ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM, anakutana na CHADEMA, anakubaliana na mapendekezo yote on the spot ikiwemo kutotia saini muswada, ili urudi bungeni (na ukumbuke alishasema hadharani kuwa muswada huo atautia saini haraka iwezekanavyo ili uanze kufanya kazi). Akishakubaliana na CHADEMA, Kikwete alikuwa ajiandae kukutana na yafuatayo

1. Awe tayari kuungana na umma, kumsapoti katika hili (kitu ambacho ameshindwa mara nyingi tangu umma ulipozinduka kupambana na kupinga ufisadi na mafisadi.

2. Awe tayari kukabiliana na wenzake ndani ya CCM ambao wangetumia nafasi hiyo au sababu hiyo katika vita iliyomo ndani ya chama hicho, kumwondoa katika uenyekiti

3. Hii ni ndiyo ambayo ingelikuwa kali zaidi, ajiandae kukubaliana na wabunge wa CCM na CUF, ambao wangeamua kupinga kurudishwa kwa muswada huo na hivyo hata kuamua kupiga VOTE OF NO CONFIDENCE. La sivyo angelivunja na turudi kwenye uchaguzi mkuu mwingine.

Je Rais Kikwete ana uwezo wa kusimama na kudhibiti hayo mambo. Kusimama kidete. Angelikuwa Rais makini na mwenye ushawishi, msmamo na dikteta kwa maslahi ya umma, forget about partisanship, llet's say Mwalimu Nyerere hivi, asingesaini hii sheria na bado angesimama na umma, kujenga hoja zenye mantiki, hakuna mtu CCM angesimama dhidi yake wala ndani ya bunge hakuna mtu angehoji, maana angechungulia nje na kukuta maandamano ya kumuunga mkono Rais yamepamba moto vibaya mno.

Sasa JK kaangalia hawezi kupambania Uenyekiti wake, wala ku-face Vote of no Confidence, wala kuvunja bunge na kurudi kwenye uchaguzi. Amelinda kitumbua chake, amelinda chama chake, akawaacha Watanzania waliowekeza matumaini yao kwake kupitia CHADEMA. Nani kawaangusha Watanzania KWA SASA, WAKISUBIRI MATUMAINI YA KUREKEBISHWA SHERIA HIYO, ni CHADEMA au Rais Kikwete? Kwangu mimi ni Rais.

Ameogopa kuonekana ameshawishiwa na CHADEMA, ndiyo maana wakaamua kukubaliana kuwa consultations more should be done to other stakeholders, ili isionekane issue ni ya CHADEMA pekee. Lakini stake holders karibu wote hoja ni zile zile za CHADEMA. Wakuu tufikirieni na kutafakuri vyema. CHADEMA on our behalf have tried to stop the president not to sign..., so what do u guys suggest, the next move, semeni, kusubiri mabadiliko ya sheria au kuingia barabarani...semeni si kulalamika...aaagh.

Kwa mawazo yako sasa kwaku sign ndo amemaliza tatizo? Subiri uone mbele kunakuwaje; matatizo haya kimbiwi jamani yanatatuliwa mbona swala la mafisadi/gamba alijipa muda wakutosha? Kwenye hili alikuwa na haraka ya kwenda wapi? Inamaana magamba yana nguvu zaidi ya umma siyo ndiyo maana kwa issues zao hata sheria zinapindishwa kama mwizi kurudisha mali kimya kimya bila kutiwa nguvuni? Say it once more clear and loud tukusikie.

This time kuta za jeriko zitadondoka zenyewe bila kusukumwa na mtu; usicheze na sauti ya wanyonge ukadhani kwa vile ni wanyonge hawana nguvu; yes ni kweli nguvu utawazidi lakini greater is he that he is in them ambaye hahitaji democracy kutenda haki kwake hata akiwapo mmoja anayestahili anampatia haki yake.
 
Kwanza mimi nawashukuru wale wote walioonyesha uzalendo wa kwenda kumuona Rais kabla ya kutia saini ule mswada, wameonyesha uzalendo wa hali ya juu na ukomavu wa kisiasa.

Watanzania inabidi tujiulize swali moja la msingi; Hivi ni kwa nini kila mtu mwenye akili timamu achilia wale wenye kutanguliza maslahi yao binafsi kama makada na wabunge wa CCM hawakubaliana na Mswada ulipitishwa na wabunge wa CCM? Angalia wasomi wote, Jukwa la Katiba, Majaji wastafu, TLS, TUCTA, e.t.c hawaungi mkono suala zima la mswada wa katiba, ni watawala tu ndo wanalazimisha.Tatizo ni nini hasa? Jibu ni rahisi: Wote ni waovu, hawaungwi mkono na wananchi na njia pekee ya kujiokoa ni kutunga na kupitisha sheria zinazowalinda kwa sasa na zitakazozidi kuwalinda katika kuliibia taifa na kuzidi kulithishana utawala.

Cha kufanya sheria imesainiwa tayari, kama ni kwa ajiri ya watanzania basi tuikatae kwa nguvu zetu zote, na kuikataa kwenyewe siyo lazima uwasubiri CDM, Jukwaa la katiba au wanaharakati, au ridhaa ya IGP mwema! Anzia ulipo kumobilise nguvu ya umma ili filimbi ikipigwa either na mimi, wewe, CDM, wanaharakati, Jukwaa la katiba au yoyote yule tofauti na INGIA BARABARANI NA MABANGO MAKUBWA KUIPINGA SHERIA HIYO! KULALAMIKA TU HAKUSAIDII CHOCHOTE, VITENDO TU NDO VITATUKOMBOA WATANZANIA, LASIVYO UGUZA MARADHI MPAKA MANABII WOTE WATAKAPORUDI!


NINACHOWAHAKIKISHIA NI KWAMBA MAISHA YATAZIDI KUWA MAGUMU ZAIDI CHINI YA CCM KWA SABABU WANATAMBUA KABISA KUWA WANANCHI WAMEWACHOKA SABABU YA UFISADI NA KUTOKUJALI MASLAHI YA TAIFA NA RAIA WAKE, NA KWA JINSI HIYO NGUVU KUBWA ITAELEKEZWA KWENYE VYOMBO VYA ULINZI ILI WAJIHAMI ZAIDI NA SI KWA NGUVU YA UMMA TENA! WALISHINDWA KUZIBA UFA HAWAWEZI KUUJENGA UKUTA WHICH MEANS WALISHINDWA KUTATUA MATATIZO YA WATANZANIA WALIPOKUWA BADO WANAWAAMINI NA SASA WAMEWAZIDI UWEZO NA WANANCHI HAWAWAAMINI TENA NA HALI ILIVYO HAWANA NGUVU YA KUWASAIDIA WANANCHI, NJIA ILIYOPO NI KUJIHAMI KWA SHERIA KANDAMIZI KAMA HUU MSWADA NA KUIMARISHA POLISI ILI WAZIDI KUTUNYONYA NA KUTUTAWALA KWA NGUVU.


Wewe, mimi na yule ndio tuwe responsible kulikomboa taifa hili kutoka mikoni mwa wakoloni waeusi, usitegemee wakoloni weusi kuwa ipo siku watatuonea huruma ili wakubali kugawana nasi keki ya taifa hili!

Mabadiliko ya kweli tutayapata barabarani, si magogoni, wala mjengoni! Kazi hii niliinza tangia wakati wa kampeni 2010 na nitaiacha pale nitakapoona watanzania wote wanakuwa huru ktoka mikoni mwa wakoloni weusi!
 
Jamani mkenya mmoja alisema kenya tuliweza kuongea vizuri damu ilipomwagika. Swala ni watanzania tuko tayari kufa? Twendeni barabarani. Huwezi kupata unachotaka kwa kunywa chai ikulu unacheka. Cdm wamejitahidi kuepusha baraa sasa tuuwane ccm ndiyo ya kulaumiana
 
kaka nimekukubali what u have written is true, but what i advise CHADEMA they should continue with their move cz they used dialogue as a peaceful mean and mr. president accepted their request unfortunately he betrayed CHADEMA so no way CHADEMA go on use peoplez power we behind u. Altercontinua
 
Walithubutu kuusoma kwa mara ya pili sasa wamesign na wanasonga mbele bila ridhaa ya wananchi.
 
Back
Top Bottom