Nimesikiliza kwa umakini wa hali ya juu hotuba ya Ismail Jusa akimjibu Samwel Sitta. Kwa kweli wanasiasa wa aina ya Ismail Jusa kwa kweli ni hatari kwa Amani, mshikamano na Muungano wa Tanzania na ni hatari kwa Taifa. Mimi sijui hii nchi inakwenda wapi ....wakiongea watu wengine maneno hayo ya JUSA nadhani wangefunguliwa kesi nyingi tu.... JUSA ni nani katika nchi hii ? Polisi walitakiwa wamkamate right away baada ya mazungumuzo hayo....Sijui nchii hii inakwenda wapi ?
Grounds za kukwamatwa:
1. Hate Speech/uchochezi
2. Matusi
Hizi tu zinatosha yeye kwenda jela kwa muda kidogo....
Kuwa na busara, unaanzisha mada isio na mashikio, kwani kasema kitu gani, naona una bwabwaja tu. Nukulu alicho kukera