cyberspace
JF-Expert Member
- Jul 23, 2011
- 730
- 291
Wazenji mimi sina hamu nao vingine haviandikiki. Naombea huu muungano ufe yaani siku hiyo nitashangilia na sherehe juu.
Hakuna tusi hapo. Kama kaambiwa mjinga basi ni mjinga kweli ati, wewe unamuona mjanja kutoka Uspika mpaka kuwa waziri wa afrika mashariki?
mamangu sam six kaitwa mjinga mmoja samuel sitta zaidi ya mara nne bado huoni ni matusi kwa mtoto mdogo kama jussa kwa mzee mzima kama sitta?matusi sio mpaka yale ya kitandani kumuita mtu alie sawa sawa na babako mjinga haipendezi wala sio adabu nzuri kwa mtoto wa kiislam ama yeyote awaye!penye ukweli tuuseme unless umetizama a wrong video bi dada!je jussa anaweza kumuita maalimu seif mjinga?huyu hamad rashid licha kuhitilafiana sana hivi majuzi hajasikika akimwita mjinga
Nimeipitia hiyo video na nnadiriki kusema hakuna aliyetukanwa. Tusi au matusi ni yepi hapo? Naomba unukuu labda nimetazama mkanda tofauti.
Wewe mleta mada kwa kudai kuwa hao viongozi walio hai na waliokufa na kudai sisi sote tumetukanwa ukumbuke kuwa hiki ulichokiandika ni fitna kubwa sana na kama utashindwa kulionesha tusi au matusi waliyotukanwa kwa kunukuu itanipelekea kukuita "fataani".
Humuhumu JF Kikwete kishaitwa zaidi ya "mjinga" na sijaona watu wakilalamika. Kwani ujinga ni matusi wakati hata Nyerere aliuita huo ni mmoja kati ya maadui wetu, sasa jamani hapo kama Sitta kaitwa kaambiwa yu mjinga kuna tatizo lipi? Kama ni mjinga mjinga tu, ujinga si tusi ujanja ndio tusi.
Waswahili neno ujinga lingekuwa tusi hata hapa JF ungeona badala ya hilo neno vinatoka vinyota. Ujinga ni ujinga, sio tusi. Mimi nasema Sitta kama si mjinga angeshahamia upinzani baada ya kuondolewa uspika akipenda asipende. Nyie mnaonaje hapo? Kuendelea Sitta kubaki CCM ni ujanja?
Aisee! Unaweza kweli kufananisha mwanasiasa anayezungumza na umati wa watu na watu wenye id bandia hapa JF?Humuhumu JF Kikwete kishaitwa zaidi ya "mjinga" na sijaona watu wakilalamika. Kwani ujinga ni matusi wakati hata Nyerere aliuita huo ni mmoja kati ya maadui wetu, sasa jamani hapo kama Sitta kaitwa kaambiwa yu mjinga kuna tatizo lipi? Kama ni mjinga mjinga tu, ujinga si tusi ujanja ndio tusi.
Waswahili neno ujinga lingekuwa tusi hata hapa JF ungeona badala ya hilo neno vinatoka vinyota. Ujinga ni ujinga, sio tusi. Mimi nasema Sitta kama si mjinga angeshahamia upinzani baada ya kuondolewa uspika akipenda asipende. Nyie mnaonaje hapo? Kuendelea Sitta kubaki CCM ni ujanja?
Bi FF, na mimi nimesikiliza. Maneno aliyotumia Jussa ni kama vile "Mjinga Sitta, Mpumbavu Sitta, Mjinga huyu..."
Sasa katika lugha kiungwana, sidhani kama ni sahihi kwa mtu, hasa mwanasiasa, kutamka maneno kama haya dhidi ya (mwanasiasa) mwenzake. Pengine mimi si mwelewa wa lugha wala maadili, lakini pamoja na ukweli kwenye maelezo yake, hapa Jussa amejiteremsha kama muungwana.
Jussa nae ni mwanasheria anajua vyema anachozungumza.lakini Lugha anayotumia si ya kiungwana hata kidogo,anakosa heshima na anachochea uasi!Inapaswa aongozwe na kujua jinsi ya kuheshimu watu.Masuala ya Uongozi hakuyaanza yeye,anapaswa kuwa diplomat kidogo.Hizi Jazba na ubabe hautosaidia kitu!.........Ndio maana inafika wakati watanganyika wanaona hakuna sababu ya kung'ang'ania Muungano ni vyema sasa kwenda solo.Haya masuala ya kutukanana "Nani kambeba nani siyo ya kistaarabu hata kidogo"!
Hakuna tusi hapo. Kama kaambiwa mjinga basi ni mjinga kweli ati, wewe unamuona mjanja kutoka Uspika mpaka kuwa waziri wa afrika mashariki?
Ndio maana inafika wakati watanganyika wanaona hakuna sababu ya kung'ang'ania Muungano, ama kweli wewe ****? nani mwenye kungagania muungano kati ya wazanzibar na nyiyi?. mulizenu huyo mzee wenu Sitta wazanzibar walimpa ujumbe gani katika kuchangia maoni ya katiba kuhusu Muungano fake?
Ama kweli kubwa jinga nyiyi huu wewe mpaka leo unauita muungano haliyakuwa hauna sifa yoyote ya Muungano huu uliouwa hata nchi yenu ya asili na yenye historia ya wazee wenu walopigania uhuru ,munakubali kujizalilicha kwa jina la bandia Tanzania lisilokuwa na mbele wala nyuma. ama kweli nyini pofu.
Nenda ukafunzwe vizuri ili usiwe unachekacheka unapopewa sifa ya "ujinga" au "ujanja". Kwa akili yako unadhani ujanja ni kinyume cha ujinga... pole. Mjanja ni mwizi, mwongo, tapeli na mdanganyifu. Malezi/elimu duni inajionesha pale mnapobwabwaja na kukosa uungwana kama huyo mropokaji Jussa. Bado unapenda kuitwa mjanja?